Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Acha wajifie tu maana hawana msaada wowote kwa Taifa letu zaidi ya kuhamasisha ubaguzi na chuki kwa wananchi. Hakuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kuwaunga mkono na kuwapa kuwaoa kura ya ndio katika sanduku la kura.