Uchaguzi mkuu wa 2025, nasi watanzania tutumie vifaa vya teknolojia (TIEMS). Vinginevyo...

Uchaguzi mkuu wa 2025, nasi watanzania tutumie vifaa vya teknolojia (TIEMS). Vinginevyo...

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
2025 nitagombea ubunge kwenye Jimbo fulani. Lkn ninasubiri kuona Kama nchi yetu itatekeleza mambo 3.

1. Katiba itabadilishwa.

2. Tume huru ya uchaguzi itaundwa.

3. Vitanunuliwa vifaa vya kielektroniki vya kunakiri na kuposti matokeo toka vituo vya kupigia kura kwenda tovuti ya Tume:- Tanzania Integrated Election Management System (TIEMS).

Kama haya hayatatendeka mm nitakata tamaa na nchi hii na nitakuwa mtu mbaya sana. Na pengine nitakuwa muasi asiyedhibitika. Kwasbb nitakuwa Sina cha kupoteza na nitapandwa na roho mchafu wa "tukose wote".

Uchaguzi wa 2025 unapaswa kuwa wa haki na haki ionekane na kila mtu duniani Kama inavyoonekana pale Kenya.

Hii habari ya kutekana, kuondoana kwenye kinyang'anyiro kwa hila na fitina ifekabisa. Wasimaizi wa uchaguzi wawasaidie wagombea kujaza fomu na hata pakitokea makosa wasaidie kurekebisha makosa.
 
Mmeisha jitambua hadi mtumie vifaaa? Nyie kabda baada ya miaka 5000 ila sio sasa, manual process inatosha kwa sababu raia wenyewe kwanza hasajitambui, Hivyo vinatumika nchi zenye raia wanao jitambua
 
Sijui why behind keyboard watu wanaonekana watu hivi?
Ni kwasbb watu kamili hapa Tanzania tuko wachache sana. Wengi wa watanzania ni maroboti. Ukijichanganya yanakuacha peke yako.
 
Hayo mambo under chama Cha mapinduzi sahau mkuu wao wanacho jali ni kubaki madarakani tu ndio maana hatushangai ya Mzee Kinana kuandika barua kustafu siasa sababu ya umri lakini ndo mwenyekiti msaidizi wa CCM sasa
 
Hayo mambo under chama Cha mapinduzi sahau mkuu wao wanacho jali ni kubaki madarakani tu ndio maana hatushangai ya Mzee Kinana kuandika barua kustafu siasa sababu ya umri lakini ndo mwenyekiti msaidizi wa CCM sasa
Nitafanya mobilization ya vijana na kueavurugia ili kila mtu akose amani na furaha. Nikiitafuta akina Hamza 10 tu nchi haitakalika.
 
2025 nitagombea ubunge kwenye Jimbo fulani. Lkn ninasubiri kuona Kama nchi yetu itatekeleza mambo 3.

1. Katiba itabadilishwa.

2. Tume huru ya uchaguzi itaundwa.

3. Vitanunuliwa vifaa vya kielektroniki vya kunakiri na kuposti matokeo toka vituo vya kupigia kura kwenda tovuti ya Tume:- Tanzania Integrated Election Management System (TIEMS).

Kama haya hayatatendeka mm nitakata tamaa na nchi hii na nitakuwa mtu mbaya sana. Na pengine nitakuwa muasi asiyedhibitika. Kwasbb nitakuwa Sina cha kupoteza na nitapandwa na roho mchafu wa "tukose wote".

Uchaguzi wa 2025 unapaswa kuwa wa haki na haki ionekane na kila mtu duniani Kama inavyoonekana pale Kenya.

Hii habari ya kutekana, kuondoana kwenye kinyang'anyiro kwa hila na fitina ifekabisa. Wasimaizi wa uchaguzi wawasaidie wagombea kujaza fomu na hata pakitokea makosa wasaidie kurekebisha makosa.
MWAKA 2025 sidhani kama kutakuwa na UCHAGUZI wenye Nchi yao Weshasema Viongozi Waliopo ni mpaka 2030
na Hakutakuwa na TUME HURU wala MCHAKATO wa KATIBA MPYA
 
2025 nitagombea ubunge kwenye Jimbo fulani. Lkn ninasubiri kuona Kama nchi yetu itatekeleza mambo 3.

1. Katiba itabadilishwa.

2. Tume huru ya uchaguzi itaundwa.

3. Vitanunuliwa vifaa vya kielektroniki vya kunakiri na kuposti matokeo toka vituo vya kupigia kura kwenda tovuti ya Tume:- Tanzania Integrated Election Management System (TIEMS).

Kama haya hayatatendeka mm nitakata tamaa na nchi hii na nitakuwa mtu mbaya sana. Na pengine nitakuwa muasi asiyedhibitika. Kwasbb nitakuwa Sina cha kupoteza na nitapandwa na roho mchafu wa "tukose wote".

Uchaguzi wa 2025 unapaswa kuwa wa haki na haki ionekane na kila mtu duniani Kama inavyoonekana pale Kenya.

Hii habari ya kutekana, kuondoana kwenye kinyang'anyiro kwa hila na fitina ifekabisa. Wasimaizi wa uchaguzi wawasaidie wagombea kujaza fomu na hata pakitokea makosa wasaidie kurekebisha makosa.
Tangiapo CCM wanataka ukate tamaa waendelee kupiga pesa za nchi
 
2025 nitagombea ubunge kwenye Jimbo fulani. Lkn ninasubiri kuona Kama nchi yetu itatekeleza mambo 3.

1. Katiba itabadilishwa.

2. Tume huru ya uchaguzi itaundwa.

3. Vitanunuliwa vifaa vya kielektroniki vya kunakiri na kuposti matokeo toka vituo vya kupigia kura kwenda tovuti ya Tume:- Tanzania Integrated Election Management System (TIEMS).

Kama haya hayatatendeka mm nitakata tamaa na nchi hii na nitakuwa mtu mbaya sana. Na pengine nitakuwa muasi asiyedhibitika. Kwasbb nitakuwa Sina cha kupoteza na nitapandwa na roho mchafu wa "tukose wote".

Uchaguzi wa 2025 unapaswa kuwa wa haki na haki ionekane na kila mtu duniani Kama inavyoonekana pale Kenya.

Hii habari ya kutekana, kuondoana kwenye kinyang'anyiro kwa hila na fitina ifekabisa. Wasimaizi wa uchaguzi wawasaidie wagombea kujaza fomu na hata pakitokea makosa wasaidie kurekebisha makosa.
Kwa mujibu wa CCM(wakoloni mamboleo) kila nchi ina utaratibu wake wa kumpata rais Tanzania tumechagua utaratibu wa chama tawala kupeana miaka 10 na kuendelea ikiwezekana, japo hili la zaidi ya miaka 10 linaleta hofu kwa muumba mbingu na ardhi kuonekana hataki kulisikia na anaamua kuwanyakua wanaolishabikia.
 
Hivi umoja party bado kipo au? Sikisikii kabisa au hawataki wanachama!
 
Tunaweza kufanya yote hayo, lakini mwisho wa siku kama waliopo madarakani bado hawatakuwa tayari kukubali kushindwa hakuna kitakachosaidia hata kama vikiletwa vifaa vya kielektroniki.
 
MWAKA 2025 sidhani kama kutakuwa na UCHAGUZI wenye Nchi yao Weshasema Viongozi Waliopo ni mpaka 2030
na Hakutakuwa na TUME HURU wala MCHAKATO wa KATIBA MPYA
Basi wajiandaye kutuua tu. Watu tushachoka kuishi kwenye nchi ya mauzauza kama hii.
 
Kwa mujibu wa CCM(wakoloni mamboleo) kila nchi ina utaratibu wake wa kumpata rais Tanzania tumechagua utaratibu wa chama tawala kupeana miaka 10 na kuendelea ikiwezekana, japo hili la zaidi ya miaka 10 linaleta hofu kwa muumba mbingu na ardhi kuonekana hataki kulisikia na anaamua kuwanyakua wanaolishabikia.
Acha wawndelee kushupaza shingo tu. Yatawatokea puani 2025
 
Tunaweza kufanya yote hayo, lakini mwisho wa siku kama waliopo madarakani bado hawatakuwa tayari kukubali kushindwa hakuna kitakachosaidia hata kama vikiletwa vifaa vya kielektroniki.
Ndugu yangu hebu sikiliza. Hizo nchi unazoona wagombea wakikubali kushindwa siyo kwamba wanapenda bali ni kwasabb wanabanwa na katiba zao zilizo bora.

Mfano hapo Kenya kwenye uchgauzi unaoendelea mgombea akipinga atapaswa kuwa na ushahidi wa kutosha kuthibitisha madai yake.

Hapa kwetu tumeifanya tume kuwa na maamuzi ya mwisho kama Mungu. Eti haipingwi wala kuhojiwa na chombo chochote. Pathetic!
 
2025 nitagombea ubunge kwenye Jimbo fulani. Lkn ninasubiri kuona Kama nchi yetu itatekeleza mambo 3.

1. Katiba itabadilishwa.

2. Tume huru ya uchaguzi itaundwa.

3. Vitanunuliwa vifaa vya kielektroniki vya kunakiri na kuposti matokeo toka vituo vya kupigia kura kwenda tovuti ya Tume:- Tanzania Integrated Election Management System (TIEMS).

Kama haya hayatatendeka mm nitakata tamaa na nchi hii na nitakuwa mtu mbaya sana. Na pengine nitakuwa muasi asiyedhibitika. Kwasbb nitakuwa Sina cha kupoteza na nitapandwa na roho mchafu wa "tukose wote".

Uchaguzi wa 2025 unapaswa kuwa wa haki na haki ionekane na kila mtu duniani Kama inavyoonekana pale Kenya.

Hii habari ya kutekana, kuondoana kwenye kinyang'anyiro kwa hila na fitina ifekabisa. Wasimaizi wa uchaguzi wawasaidie wagombea kujaza fomu na hata pakitokea makosa wasaidie kurekebisha makosa.
Samahani unamuona hapo!
 
Ni kwasbb watu kamili hapa Tanzania tuko wachache sana. Wengi wa watanzania ni maroboti. Ukijichanganya yanakuacha peke yako.
Utu kamili uutoe wapi wewe shoga, juzi tuu hapa c ulikuwa unalalamika umeachwa na mwanaume na mimba juu.?
 
Back
Top Bottom