Uchaguzi mkuu wa 2025, nasi watanzania tutumie vifaa vya teknolojia (TIEMS). Vinginevyo...

Uchaguzi mkuu wa 2025, nasi watanzania tutumie vifaa vya teknolojia (TIEMS). Vinginevyo...

Nitafanya mobilization ya vijana na kueavurugia ili kila mtu akose amani na furaha. Nikiitafuta akina Hamza 10 tu nchi haitakalika.
Nasikia mashoga ni kama biskuti, sasa utaweza kukaza kalio kweli ww upambane.?
 
Haya ni maneno ya mpumbavu. Ruto katukanwa sana na wapumbavu Kama wewe lkn hv sasa ndiye rais wa Kenya
Kwahy unataka tufukue mada zako za kulalamika kuachwa na mimba juu.?
 
2025 nitagombea ubunge kwenye Jimbo fulani. Lkn ninasubiri kuona Kama nchi yetu itatekeleza mambo 3.

1. Katiba itabadilishwa.

2. Tume huru ya uchaguzi itaundwa.

3. Vitanunuliwa vifaa vya kielektroniki vya kunakiri na kuposti matokeo toka vituo vya kupigia kura kwenda tovuti ya Tume:- Tanzania Integrated Election Management System (TIEMS).

Kama haya hayatatendeka mm nitakata tamaa na nchi hii na nitakuwa mtu mbaya sana. Na pengine nitakuwa muasi asiyedhibitika. Kwasbb nitakuwa Sina cha kupoteza na nitapandwa na roho mchafu wa "tukose wote".

Uchaguzi wa 2025 unapaswa kuwa wa haki na haki ionekane na kila mtu duniani Kama inavyoonekana pale Kenya.

Hii habari ya kutekana, kuondoana kwenye kinyang'anyiro kwa hila na fitina ifekabisa. Wasimaizi wa uchaguzi wawasaidie wagombea kujaza fomu na hata pakitokea makosa wasaidie kurekebisha makosa.
"Nitakuwa mbaya sana a muasi asiye dhibitika"
Unaichimba serikali biti? Ww ni mtu mdogo sana na serikal haifanyi kazi kwa style hiyo unayotaka ww
 
Back
Top Bottom