Wacha tule buyu tuUnajua nn..hamna serikali iloharibu maana kamili ya upigaji kura kama hii ya sasa.
Watu wamechoka, ma walichoshwa na tabia zilizotokea za chaguzi ndogondogo zilizopita hapo nyuma.
Watu hawaoni maana tena, maana wapige wasipige, ..hamna mtu atakayetangaza matokeo yasomfurahisha mkuu wa wilaya,wamkoa, Rais.
Nifanyeje sasa?????
Haha mkuu huendi hata kwa fimboYaani napata wapi ujasiri na ndevu zangu kwenda kuandika jina langu eti nikapige kura??? Nikaangalie pambano ambalo mmoja kafungwa kamba mikoni na mmoja anapiga tu eti tunalazimishwa kumshangilia huyu mshindi wa kupangwa.
Kwenye hili Rais ajue yeye ndio chanzo na hatutajitokeza hata watangaze mpaka usku wa manane sisi hatutaenda na hata watufungulie mashtaka hatutaenda.
Asipokuelewa basi tenaMkuu kwa watu wenye akili timamu na wanao penda justice and democracy kwa siasa zilivyo sasa huwezi kwenda kupiga kura.
Na hata kwaka ujao ni wachache sana watapiga kura.
Hii iwe fundisho kwa watawala kuwa na justice pia waheshimu mawazo ya wananchi . Haiwezekani uwaambie wananchi waombe msamaha kwa kuchagua upinzani au mtu mwingine usie mtaka wewe kiongoz pia uminywaji wa democracy unaoendelea ni vema tu ili kusiwe na vita vya kuchukiana kuumizana tuamue kurudisha utawala wa chama kimoja maana nadhani hii ya vyama vingi ukweli imetushinda.
Mkuu mbaga jr, siasa sio uhasama ila nikupata platform ya wananchi kuelezea hisia zao kwanini wamemchagua huyu na wamemwacha huyu ili itusaidie ku learn theough mistakes lakini inapogeuka kuwa vita na kuumizana na kutoana uhai hapo tunadhani ni vema waungwana kutothubutu hata kusogea kujiandikisha.
Kwani umetimiza lini eti handsomesijawahi kupiga kura tangu nitimizage umri wa miaka 18 na sina mpango huo.
Wewe nilikuona jana kwenye kituo cha kuandikishiaWakajiandikishe tu maana Sjaona kipya ntakachogundua...
Maana mshindi tayari anajulikana na hata akichaguliwa tofauti baada ya miez sita anaunga mkono juhudi.
kwangu wasipite nipo gheto na kimwana tunakonga nyoyoSasa hivi wanapita nyumba kwa nyumba!
Sawa mkuukwangu wasipite nipo gheto na kimwana tunakonga nyoyo
Matokeo yanajulikana kwa hiyo kwenda kujiandikisha Ni kupoteza muda tuHuku tukielezana kwa nini hatujajiandikisha. Kwa upande wangu mimi naona uvivu....hivyo tu
Wale 'wazalendo' pia karibuni
Unanichimba Kigori...Kwani umetimiza lini eti handsome