Mkuu kwa watu wenye akili timamu na wanao penda justice and democracy kwa siasa zilivyo sasa huwezi kwenda kupiga kura.
Na hata kwaka ujao ni wachache sana watapiga kura.
Hii iwe fundisho kwa watawala kuwa na justice pia waheshimu mawazo ya wananchi . Haiwezekani uwaambie wananchi waombe msamaha kwa kuchagua upinzani au mtu mwingine usie mtaka wewe kiongoz pia uminywaji wa democracy unaoendelea ni vema tu ili kusiwe na vita vya kuchukiana kuumizana tuamue kurudisha utawala wa chama kimoja maana nadhani hii ya vyama vingi ukweli imetushinda.
Mkuu
mbaga jr, siasa sio uhasama ila nikupata platform ya wananchi kuelezea hisia zao kwanini wamemchagua huyu na wamemwacha huyu ili itusaidie ku learn theough mistakes lakini inapogeuka kuwa vita na kuumizana na kutoana uhai hapo tunadhani ni vema waungwana kutothubutu hata kusogea kujiandikisha.