LGE2024 Uchaguzi serikali za mitaa ufanyike 2026. Je, kuna madhara yoyote?

LGE2024 Uchaguzi serikali za mitaa ufanyike 2026. Je, kuna madhara yoyote?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Je, haiwezekani kuahirisha uchaguzi wa serikali za mitaa mpaka 2026?

Hii itawezesha uchaguzi huo kusimamiwa na Tume Mpya Huru ya Uchaguzi badala ya Tamisemi.

Nadhani Watanganyika tusiwaige Wazanzibari kufanya chaguzi zote kwa wakati mmoja.

Nchi yetu ni kubwa sana ukilinganisha na Zanzibar.
Unataka nchi ivunje katiba?
Halafu sijui ni ukosefu wa elimu au kujifanya shingo ngumu tu.

Mambo ya Serikali za mitaa siyo mambo ya Muungano. Zanzibar hawana serikali ya Muungano. Kuitaka Tume ya Uchaguzi Mkuu ianze kusimamia Chaguzi za Serikali za mitaa ni kuondoa kabisa Sera ya D by D (decentralization by devolution).

Ni Muhimu kuweza kujua Concept ya Serikali Kuu na Serikali za mitaa.
Nakuomba upitie hapa kidogo upate concept


Mimi kwa kweli nimeamua kuwaelimisha watu wote humu.
 
Unataka nchi ivunje katiba?
Halafu sijui ni ukosefu wa elimu au kujifanya shingo ngumu tu.

Mambo ya Serikali za mitaa siyo mambo ya Muungano. Zanzibar hawana serikali ya Muungano. Kuitaka Tume ya Uchaguzi Mkuu ianze kusimamia Chaguzi za Serikali za mitaa ni kuondoa kabisa Sera ya D by D (decentralization by devolution).

Ni Muhimu kuweza kujua Concept ya Serikali Kuu na Serikali za mitaa.
Nakuomba upitie hapa kidogo upate concept


Mimi kwa kweli nimeamua kuwaelimisha watu wote humu.

..sipendekezi kuvunja katiba.

..napendekeza yafanyike mabadiliko madogo ya katiba ili kuwezesha mapendekezo yangu.

..sera ya D by D ni nzuri lakini kuna changamoto katika usimamizi na uendeshaji wa chaguzi za serikali za mitaa.

..sio sahihi kwa chaguzi za serikali za mitaa kusimamiwa na waziri na makada wa chama kimojawapo kinachoshiriki uchaguzi huo.
 
Back
Top Bottom