Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Police....akatoe taarifa Police!..Hawa hawa Police wa Tanzania.....kuandika humu ni rahisi sana...,binafsi Police hawa its a NO, bora nifanye push back mwenyeweAuliwe? Ameripoti polisi?
Nafasi ya mwanamke ipo labda anayetaka muondoa ni mwanamke mwenzake ambaye ametishia uhai wake?
Au ana onekana ni kikwazo ktk shughuli za simba?
Aseme vizuri...
Kaitoa Asha BarakaHiyo taarifa ya kutishwa kuuwawa umeitoa wapi?
tatizo asha ukinega, timu mangungu yupo na timu kaluwa yupoNaye aache kutafuta kick nani amuue! Labda huko kwenye chama chao cha mambuzi.
hahahahaKaitoa Asha Baraka
Kama hali ndio hiyo, naona kutakuwa na maslahi huko..Kaitoa Asha Baraka
Sio rahisi sana! Hao wote timu Kaluwa ni malofa! kwa uzoefu wangu mdogo kwenye siasa za Simba na yanga, Kambi yenye "mzigo" ndio uwa inasikilizwa.hahahaha
huu uchaguzi kama itakua vile navyoona ,unaenda kuleta mgogoro wa kikatiba kati ya mwekezaji na wanachama
timu kaluwa ,ambao km wakishinda tegemea mabadiliko ya katiba na vipengele baadhi,ili mwenyekiti wa wanachama awe na nguv ile ya 51 asilimia.
akina kajuna,kaburu ,kaluwa, wana agenda zao
Sasa timu Kaluwa si ndio wenye hela? Na Kanjibai si ndio anawataka, na si ndio hao vilaza uongozi hawawezi sasa unategemea wanatarajia kushindana kwa kutumia niniSio rahisi sana! Hao wote timu Kaluwa ni malofa! kwa uzoefu wangu mdogo kwenye siasa za Simba na yanga, Kambi yenye "mzigo" ndio uwa inasikilizwa.
Pana umbumbumbuHii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe kwa Waandishi wa Habari, kwamba anatishiwa kuondolewa uhai wake kwa kuomba Uongozi wa Simba.
Sasa tunajiuliza hapa Simba pana nini hadi watu waanze kutaka kuwaua wenzao?