Kigogo2020
Senior Member
- Oct 22, 2019
- 171
- 323
Kwenda zako! Asogeze asisogeze JPM ni Rais hadi 2025Zilizovuja ni kuwa Meko amecopy kwa dikteka mwenzake Museveni kusogeza uchaguzi mbele.
Ila tunawakumbusha mataga,
tutadai tume huru mpaka itakapopatikana
Sawa mpambe wa polepoleKwenda zako! Asogeze asisogeze JPM ni Rais hadi 2025
Zilizovuja ni kuwa Meko amecopy kwa dikteka mwenzake Museveni kusogeza uchaguzi mbele.
Ila tunawakumbusha mataga,
tutadai tume huru mpaka itakapopatikana
Jay ZHiyoo picha ya kigogo anawekaga huyoo jamaa Ni Nani?
Au ndo yule wanamuita Domo zege??
Hiyoo picha ya kigogo anawekaga huyoo jamaa Ni Nani?
Au ndo yule wanamuita Domo zege??
Ni yule anaesemaga Dalethalam iz thef πππHiyoo picha ya kigogo anawekaga huyoo jamaa Ni Nani?
Au ndo yule wanamuita Domo zege??
Subiri yule mgogo atathibitishaHii ni taarifa ya uongo,
kama unabisha thibitisha.
Zilizovuja ni kuwa Meko amecopy kwa dikteka mwenzake Museveni kusogeza uchaguzi mbele.
Ila tunawakumbusha mataga,
tutadai tume huru mpaka itakapopatikana
Kwa nini msimsajiri ili awavushe kwenye mto naona mnampenda sana!
nonsense.Subiri yule mgogo atathibitisha