macson3
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,134
- 1,230
Chadema wamempa moyo Ben harafu wamemuacha tayari. This is Tanzania.[emoji3][emoji3][emoji3]
macson
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wamempa moyo Ben harafu wamemuacha tayari. This is Tanzania.[emoji3][emoji3][emoji3]
Tulia dawa iwaingieHivi kweli chadema na akili zao za kuunga kwa super glue wanaamini kabisa wanaweza kumngoa jpm
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uchaguzi hata usipofanyika sawa tu, hizo pesa tufanyie kazi nyingine.
Utakuwa 2026Naomba kuuliza, ikitokea uchaguzi umesogezwa mbele na kufanyika kwa mfano 2021, je uchaguzi utakaofuata utakuwa 2025 au 2026 ?
mimi hata leo nikiambiwa niwatoe CCM inawezekana ila labda pesa na vitendea kazi maana watanzania wengi tuna akili ya kukalili na kudhalauHivi kweli chadema na akili zao za kuunga kwa super glue wanaamini kabisa wanaweza kumngoa jpm
Sent using Jamii Forums mobile app
We uoni anavowaogopa chadema kuliko corona akilala akiamka chadema IPO kamaliza mbinu zote za kuiwa zimebuma zaid frustration huku hakuna dalili za kukamilika kwa miradi kiki.Hivi kweli chadema na akili zao za kuunga kwa super glue wanaamini kabisa wanaweza kumngoa jpm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka kuko pale pale ye aongeze hata miaka 60 at the end atatoka tu kulipwa stahili zakeKwenda zako! Asogeze asisogeze JPM ni Rais hadi 2025
Tunza manenoKwenda zako! Asogeze asisogeze JPM ni Rais hadi 2025
meko tena?Zilizovuja ni kuwa Meko amecopy kwa dikteka mwenzake Museveni kusogeza uchaguzi mbele.
Ila tunawakumbusha mataga,
tutadai tume huru mpaka itakapopatikana