Uchaguzi 2020 Uchaguzi tarehe 28; CHADEMA inapoteza kila kitu

highly analysis value.we congratulate on your highly vision.hii ndio imekua copy and paste.
mim sikuwah kupiga kuura ilikuaga uvivu tu ila mwaka huu nikasema no No No
chkuua kadi yangu nikaenda shekilango shule ya msingi charaza [emoji818][emoji818] kwa Jpm.diwani simjui ila nilichofanya nimetafuta wap pana kijani nikacharaza[emoji818][emoji818] afadhali kidogo yule Talimba huwa namuona ona kwenye Tv nae [emoji818][emoji818][emoji818]
mimi kusikia tu mambo ya ushoga kwamba atepas ndio anayashabikia sijuii kutuuza kwa wazubg nilichukia sana.na naenda kwa mwenyekit sijui ila ntajuaga huko huko kuchkua kadi yangu rasmi ya Ccm ili niwe uvccm tuje kuwa vijana tutaorithi mikoba
 
Teh teh teh, Shukrani Buda!
 
Una lingine la kusema mpaka leo hii tar 3/11/2020 minyoo wewe?
 
Uzi huu Mungu aulinde
 
Una lingine la kusema mpaka leo hii tar 3/11/2020 minyoo wewe?
Hivi kweli unaweza kutoka nje kifua mbele kusherekea upuuzi uliofanyika? Huku niliko hakuna anaeshangilia ushindi maana ni aibu,aibu mkuu. Hatutachoka kusema kama kweli tunapendwa kwa nini tufanye utoto ule hatujiamini au? Hadi sasa tunaulizwa swali rahisi sana na walimwengu kama kweli tumepata 84 % tunamhofia nani? Kwa nini? Ukongwe haujatusaidia kitu safari hii tumeumbuka! Dunia imetukazia jicho,tinafurahia kuwa uchi aisee watu mna roho.
 
Laiti wangekusikiliza... ila Chadema hawajawai chukua ushauri, najiuliza waga wanajadiliana vipi kwenye vikao vyao au wakubwa wamaamua tu
 
Laiti wangekusikiliza... ila Chadema hawajawai chukua ushauri, najiuliza waga wanajadiliana vipi kwenye vikao vyao au wakubwa wamaamua tu
Hilo Prof.Kitila Mkumbo ameshalimaliza Mkuu
 
Wewe akili zako zimeshabuma huwezi elewa uzi huu tafuta mtu akusaidie kuuchambua halafu akueleweshe ndiyo utaelewa!
 
Tangu ametoka police jana yuko kimya. Kulikoni? Hata tweet moja!?
Sis kawaida yake
Hii Nchi ni very Complicated na Lissu ni mtu mdogo sana.
Tunamshukuru kwa kuchangamsha Uchaguzi in PAscall Mayala's Voice
Yaani nimeshangaa kwa kweli, maana sio yeye wala Yule bobu wake aliye tweet tangu jana
Eti Pascal Mayalla kaka ni ini kimemkuta huyu binadamu mwenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…