Uchaguzi 2020 Uchaguzi tarehe 28; CHADEMA inapoteza kila kitu

Uliwaambia hawakusikia; wakumbushe tena kuwa majuto ni mjuukuu. Sasa hivi taktik yao ni kutaka wote tuwe ma-loser kama wao, na hatutaki!
 
Uliwaambia hawakusikia; wakumbushe tena kuwa majuto ni mjuukuu. Sasa hivi taktik yao ni kutaka wote tuwe ma-loser kama wao, na hatutaki!
Hawa jamaa hata hela ya pango pale ufipa sijui watatoa wapi, yaani wamepoteza kila kitu.
 
Nadhani sasa umeelewa alikuwa anawasemea Watanzania gani.

Yes ni Hawa waliompa Lissu 13%
 
Uliwaambia hawakusikia; wakumbushe tena kuwa majuto ni mjuukuu. Sasa hivi taktik yao ni kutaka wote tuwe ma-loser kama wao, na hatutaki!
Wanazengo wamegoma Kama vile hawawaoni
 
Zile propaganda zenu mmeona zilipowafikisha!?
Mtu akitoa hoja mnadai analipwa, sijui anajikomba, sijui mnafiki sasa mmeona nguvu ya Buku 7!?
Ni kipigo cha mbwa koko, shubaaaaaamit
Mkuu hawa watu wamefundishwa hivo ndivyo walivyoteseka hata huko kwenye magroup ya WhatsApp ni hivo hivo
 
Chama hakiwezi kutunza raslimali zake halafu eti wanataka kuwape raslimali za taifa, si wataziparanganya kama matineja wakipewa credit card. Watu wehu kabisa hawa.
Hatari sana
 
Wako wapi wale wakufunzi wa lissu, wapige vigelele wa lissu, jamani jitokezeni utabiri umetimia uku kutoka kwa nabii
 
Jaman wanaojua process za kufuta chama cha siasa watuambie
 
Nadhani sasa umeelewa alikuwa anawasemea Watanzania gani.

Yes ni Hawa waliompa Lissu 13%

Hata mimi nimeelewa mkuu. Kumbe "watanzania" ni wale NECccm, ZECccm, brutal POLICEccm, TCRAccm, MIJIZIccm, na dada zao wote.

Bila kuwasahau wale MALAIKAccm wazima mitandao.

Kuwa na amani. Nimeelewa mkuu.
 
Hata mimi nimeelewa mkuu. Kumbe "watanzania" ni wale NECccm, ZECccm, brutal POLICEccm, TCRAccm, MIJIZIccm, na dada zao wote.

Vila kuwasahau wale MALAIKAccm wazima mitandao.

Kuwa na amani. Nimeelewa mkuu.
Hao hao mkuu mliowaambia waingie Barabarani wakagoma
 
Hata mimi nimeelewa mkuu. Kumbe "watanzania" ni wale NECccm, ZECccm, brutal POLICEccm, TCRAccm, MIJIZIccm, na dada zao wote.

Vila kuwasahau wale MALAIKAccm wazima mitandao.

Kuwa na amani. Nimeelewa mkuu.
"Chama kinachoshinda uchaguzi ndicho kinachotekeleza Ilani yake na kushika dola." Ukiona hayo ma-CC mengi kwenye kila taasisi, jua wananchi wameiridhia Sisiemu kwenye sanduku la kura.
 
"Chama kinachoshinda uchaguzi ndicho kinachotekeleza Ilani yake na kushika dola." Ukiona hayo ma-CC mengi kwenye kila taasisi, jua wananchi wameiridhia Sisiemu kwenye sanduku la kura.

Mtu akiliwa tunda si lazima kuwa aliridhia. Ndiyo maana pana kesi za ubakaji. Au siyo jombi?

Ni sanduku la kura au ni wizi wewe unafikia vipi hitimisho hapo bila ya kuwa referee aliyejuu huru?

Hayo ma-CCM unayoyaona wengine nao wanaona ni ya ubakaji mtupu.
 
"Sikilizeni, ndugu zangu. Pipoz! Pipoz! Pipoz! Tutashinda uchaguzi huu kwa Tume ya Uchaguzi hiihii." ~ Mr Mzungu

"Ninyi pigeni kura; kazi ya kuzilinda niachieni mimi, sawa?" ~ GB Limau, Arusha Mjini.
 
"Sikilizeni, ndugu zangu. Pipoz! Pipoz! Pipoz! Tutashinda uchaguzi huu kwa Tume ya Uchaguzi hiihii." ~ Mr Mzungu

"Ninyi pigeni kura; kazi ya kuzilinda niachieni mimi, sawa?" ~ GB Limau, Arusha Mjini.
Nemo ubakaji uliliona kwenye bandiko langu?

Tafadhali jiridhishe isije kuwa umechanganya madesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…