Tetesi: UCHAGUZI TLS: Mawakili wa serikali(TAMISEMI) "kufundwa" kesho Arusha, kura zao zaleta hofu

elfu 5 na ushee toa tamisesemi kama 230 shamwene unajisumbua hata mnayempigia upatu na yeye atapiga kura yake ampe lusu
 
Niko eneo moja hapa arusha wanaita mianzini. Nawauliza wenyeji hapa wananiambia sema ""half London""" wakiwa wanamaanisha ndo arusha.

Kazi iliyonileta n kwenda kumpigia kura Tundu Lissu.

NB : na haka kabarindi mwenyeji wangu ananiambia twende kijenge baadaye eneo la tindiga tukawashe kitu cha Bob.
Nakumbuka enzi nasoma Milambo miaka ya 85 nilikuwa napata Sana hii kitu
 
NB : na haka kabarindi mwenyeji wangu ananiambia twende kijenge baadaye eneo la tindiga tukawashe kitu cha Bob.
Nakumbuka enzi nasoma Milambo miaka ya 85 nilikuwa napata Sana hii kitu




Usiseme MILAMBO, sema SHULE YA WANAUME MILAMBO.
Nasikitika sana mwanume mwenzetu Mwakyembe anatuangusha sana yaani...!!







tafakari...!!
 
Watashindwa vibaya sana ! Pigo kubwa ni kufanyia uchaguzi huu Arusha , njama zote zimedhibitiwa na " askari wa kujitolea "
 
Wajumbe ni wangapi kwani mkuu?
 
Acha povu mkuu kila kitu serekali inagharamia mkuu!!
 
kwani waaqkili wa serikali ukipiga kura kwa Lisu, ni vip serikali ikuondoe kwenye utumish wa Umma??
 
....Thibitisha kama anasema uwongo kwa kuuweka ukweli hapa.
wewe akili yako haiko sawa, aliyeleta taarifa hiyo hapa ndio anapaswa kuthibitisha ukweli wake and not me
 
"kweli tundu lissu kawatoa jasho....." hadi kwenye chaguzi ya vyama vidogo vidogo bado mnaleta ubabaishaji usirudie kosa 2020 fanya maaumuzi sahihi
 
Acha povu mkuu kila kitu serekali inagharamia mkuu!!
Kwahiyo ata uchaguzi wa ufipa serikali inagharamia..?

Je waweza nionyesha nyaraka ambazo zinathibitisha serikali kushiriki kuandaa uchaguzi wa TLS..?
 
Kati ya watu ambao huwa sina mashaka nao ni Wanasheria sasa ikitokea wakawasikiliza ccm nitawadharau milele
 

Achana na akili za njaa mkuu, hivi ungetegemea Mwakyembe ndo awe anafanya haya mambo?

Mwakyembe aliyekataa NBC isiuzwe, Mwakyembe wa Richmond alikuwa ni mtu mwenye heshima zake.

Leo hii anaweza kusimama na kusema Rais hajavunja katiba kuchagua wabunge wa wanaume 6.
 
 
Kwani ha
Kwani hapa juzi kati wabunge wa chama fulan hawakufundwa wakome kushirikiana na wabunge wa mrengo mwengine? Tena wamefundwa na mkuu wao na wameambiwa hakuna cha matatizo wa raha marufuku, ukibainika unaletaleta udugu, basi wewe utakua msaliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…