Tetesi: UCHAGUZI TLS: Mawakili wa serikali(TAMISEMI) "kufundwa" kesho Arusha, kura zao zaleta hofu

Tetesi: UCHAGUZI TLS: Mawakili wa serikali(TAMISEMI) "kufundwa" kesho Arusha, kura zao zaleta hofu

Hapa nadhani uelewa wa mawakili unatakiwa zaidi.Amini usiamini ikiwa mawakili wa serikali watahudhuria kiujumla wao na kama tunavyojua watu wa serikali wanatetea ugali wao ni dhahiri kura za wagombea zinaweza kuangukia kwenye mteule wa mkuu. Jumla ya halmashauri zote ni zaidi ya mawakili100 hivyo tukaze moyo.
elfu 5 na ushee toa tamisesemi kama 230 shamwene unajisumbua hata mnayempigia upatu na yeye atapiga kura yake ampe lusu
 
Niko eneo moja hapa arusha wanaita mianzini. Nawauliza wenyeji hapa wananiambia sema ""half London""" wakiwa wanamaanisha ndo arusha.

Kazi iliyonileta n kwenda kumpigia kura Tundu Lissu.

NB : na haka kabarindi mwenyeji wangu ananiambia twende kijenge baadaye eneo la tindiga tukawashe kitu cha Bob.
Nakumbuka enzi nasoma Milambo miaka ya 85 nilikuwa napata Sana hii kitu
 
NB : na haka kabarindi mwenyeji wangu ananiambia twende kijenge baadaye eneo la tindiga tukawashe kitu cha Bob.
Nakumbuka enzi nasoma Milambo miaka ya 85 nilikuwa napata Sana hii kitu




Usiseme MILAMBO, sema SHULE YA WANAUME MILAMBO.
Nasikitika sana mwanume mwenzetu Mwakyembe anatuangusha sana yaani...!!







tafakari...!!
 
Kuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani

Chondechonde,kura ni siri,msikubali kuelekezwa.

Mkutano utafanyika ukumbi wa jiji

TLS hakikisheni usiri mkubwa unakiwepo kuwalinda hawa na ajira zao

Maoni: huu ni uchaguzi wa TLS tu,2020 itakuwaje?
Watashindwa vibaya sana ! Pigo kubwa ni kufanyia uchaguzi huu Arusha , njama zote zimedhibitiwa na " askari wa kujitolea "
 
Hapa nadhani uelewa wa mawakili unatakiwa zaidi.Amini usiamini ikiwa mawakili wa serikali watahudhuria kiujumla wao na kama tunavyojua watu wa serikali wanatetea ugali wao ni dhahiri kura za wagombea zinaweza kuangukia kwenye mteule wa mkuu. Jumla ya halmashauri zote ni zaidi ya mawakili100 hivyo tukaze moyo.
Wajumbe ni wangapi kwani mkuu?
 
Kwani huko Arusha kuna jando na unyago mpaka waende kufundwa..?? Na ndio maana fikra finyu hizo mkiambiwa tutawageuza kuwa NGO ili mfanye kazia za "advocacy" mnaanza kutokwa tokwa povu jingiii..... maana huu ni uzushi
wa mchana kweupeee...
nikikuuliza , nani facilitators na sponsors wa mafunzo hayo ya jando na unyago (maana umesema wanaenda kufundwa) , nitajie wanachama au mawakili hao wa serikali, muda ambao mwatafundwa(kama ulivyyosema) , ukumbi wataofundwa, mada watazofundwa, lengo la kufundwa, etc maswali ni mengi sana , kwa sasa nakuachia hapa ili ukitoka ufipa nikuendelezee dozi.
Acha povu mkuu kila kitu serekali inagharamia mkuu!!
 
kwani waaqkili wa serikali ukipiga kura kwa Lisu, ni vip serikali ikuondoe kwenye utumish wa Umma??
 
....Thibitisha kama anasema uwongo kwa kuuweka ukweli hapa.
wewe akili yako haiko sawa, aliyeleta taarifa hiyo hapa ndio anapaswa kuthibitisha ukweli wake and not me
 
"kweli tundu lissu kawatoa jasho....." hadi kwenye chaguzi ya vyama vidogo vidogo bado mnaleta ubabaishaji usirudie kosa 2020 fanya maaumuzi sahihi
 
Acha povu mkuu kila kitu serekali inagharamia mkuu!!
Kwahiyo ata uchaguzi wa ufipa serikali inagharamia..?

Je waweza nionyesha nyaraka ambazo zinathibitisha serikali kushiriki kuandaa uchaguzi wa TLS..?
 
Kati ya watu ambao huwa sina mashaka nao ni Wanasheria sasa ikitokea wakawasikiliza ccm nitawadharau milele
 
Hapa nadhani uelewa wa mawakili unatakiwa zaidi.Amini usiamini ikiwa mawakili wa serikali watahudhuria kiujumla wao na kama tunavyojua watu wa serikali wanatetea ugali wao ni dhahiri kura za wagombea zinaweza kuangukia kwenye mteule wa mkuu. Jumla ya halmashauri zote ni zaidi ya mawakili100 hivyo tukaze moyo.

Achana na akili za njaa mkuu, hivi ungetegemea Mwakyembe ndo awe anafanya haya mambo?

Mwakyembe aliyekataa NBC isiuzwe, Mwakyembe wa Richmond alikuwa ni mtu mwenye heshima zake.

Leo hii anaweza kusimama na kusema Rais hajavunja katiba kuchagua wabunge wa wanaume 6.
 
Usiseme MILAMBO, sema SHULE YA WANAUME MILAMBO.
Nasikitika sana mwanume mwenzetu Mwakyembe anatuangusha sana yaani...!!

Kwani mkuu hujui kuna wale watu ambao wanajitoa mhanga. Kwa Mwakyembe hata watanzania wote wakiwa Jela kwake ni jambo zuri tu kwani maisha yake ya sasa sio mazuri tokea alishwe sumu.




tafakari...!!
 
Kwani ha
Kwani huko Arusha kuna jando na unyago mpaka waende kufundwa..?? Na ndio maana fikra finyu hizo mkiambiwa tutawageuza kuwa NGO ili mfanye kazia za "advocacy" mnaanza kutokwa tokwa povu jingiii..... maana huu ni uzushi
wa mchana kweupeee...
nikikuuliza , nani facilitators na sponsors wa mafunzo hayo ya jando na unyago (maana umesema wanaenda kufundwa) , nitajie wanachama au mawakili hao wa serikali, muda ambao mwatafundwa(kama ulivyyosema) , ukumbi wataofundwa, mada watazofundwa, lengo la kufundwa, etc maswali ni mengi sana , kwa sasa nakuachia hapa ili ukitoka ufipa nikuendelezee dozi.
Kwani hapa juzi kati wabunge wa chama fulan hawakufundwa wakome kushirikiana na wabunge wa mrengo mwengine? Tena wamefundwa na mkuu wao na wameambiwa hakuna cha matatizo wa raha marufuku, ukibainika unaletaleta udugu, basi wewe utakua msaliti
 
Back
Top Bottom