Uchaguzi TLS ulikuwa kati ya Sheria na utulivu wa nchi

Uchaguzi TLS ulikuwa kati ya Sheria na utulivu wa nchi

Ni nani atalinda haki akiwa na njaa? Hakimu ana njaa, mtunga Sheria ana njaa, polisi ana njaa na mhalifu ana njaa. Bila wajibu wa kufanyakazi na kulipa Kodi kutimizwa kwanza hakuna haki itakayolindwa. Sheria namba Moja ambayo TLS inatakiwa kulinda kwa nguvu zake zote ni ni kuhakikisha kuwa Kila mtu anafanyakazi , analipa Kodi na anaekula Kodi hiyo anahukumiwa opasavyo, nothing less nothing more than this.
Unachanganya majukumu ya TLS na TRA na Wizara ya Kazi na Wizara ya fedha.
Jifunze kwanza majukumu ya kila kimoja.
 
Kwani TRA na wizara ya kazi hawabanwi na Sheria?! TLS wawashitaki TRA kama wanakiuka sheria kwenye kukusanya kodi na kula Hela zetu.
Unachanganya majukumu ya TLS na TRA na Wizara ya Kazi na Wizara ya fedha.
Jifunze kwanza majukumu ya kila kimoja
 
Huwezi kusema kama ukiwatetea wamasai wasiondoke Ngorongoro itasaidia wananchi kupata maji na umeme imara usiokatikakatika. Ni mjinga TU atakubaliana na wewe.
 
Kwani TRA na wizara ya kazi hawabanwi na Sheria?! TLS wawashitaki TRA kama wanakiuka sheria kwenye kukusanya kodi na kula Hela zetu.
Waambie Polisi, DPP na PCCB wawape hayo mamlaka na wawapelekee mafaili ya hizo kesi.
 
Waambie Polisi, DPP na PCCB wawape hayo mamlaka na wawapelekee mafaili ya hizo kesi.
Kwani TLS inayo mipaka? Tunataka TLS isaidie kukuza uchumi kwakutumia Sheria. Kuna Kuna Sheria inayozuia uchumi kukua wapiganie iondoke, kama wapo watu wenye Kinga ya kishitakiwa hata kama wakiiba fedha zetu wapiganie iondoke Kinga yao. Kama Kuna watu wanakwepa Kodi wahakikishe wanawafungulia mashitaka watu hao, kama Kuna watu wanaozurura mchana siku za kazi bila kufanyakazi wahakikishe watu hao wanapindishwa kizimbani, hiyo ndiyo TLS tunayoitaka.
 
Kuna wakati watanzia wa kawaida wanashindwa kuchagua kipi Bora kati ya Sheria kwa upande mmoja na amani na utulivu kwa upande wa pili. Mh. Mwabukusi, Rais mteule wa TLS anahubiri Sheria Sheria Sheria Sheria mwanzo mwisho kwenye taifa ambalo watu wake wanajiona kuwa wako huru, Wana amani na utulivu. Mwabukusi anataka kuwaambia watanzania kuwa hapanaaa, hamko huru, hamna amani na hamna utulivu twendeni tukatafute amani na utulivu kupitia TLS.

Kwa maoni yangu mm amani na utulivu wetu hautokani na Sheria peke yake, bali ni pamoja na utamaduni, mazoea, uvumilivu, woga, sera, hulka ya watanzania na sheria.

Twendeni polepole na hiki kilichopo ambacho kinatuhakikishia kuimaliza Leo yetu na kutufikisha kesho na keshokuta kuliko watu wa Congo, Sudan, Somalia au Palestine na Israel. Present is known and secure.

Watu wetu Bado ni maskini sana kiuchumi na kielimu, hakuna sheria na demokrasia inayoweza kufua dafu 100% katikati ya watu maskini, wajinga na wenye njaa. Lazima tuinue elimu yao na kuondoa njaa zao kwanza kabla ya kuwaletea demokrasia na Sheria. (Abram Maslow's)
Yaani nimekusoma hadi mwisho, nimeshindwa kukupata wala kuelewa hoja yako..

Mtu akikusoma atakuona kama vile una hoja hivi, unakwenda na hoja yako weeeeeee , lakini ghafla mtiririko wako ukakatikia njiani bila hitimisho ukiacha wasomaji wasijue ulikuwa unataka nini hasa..!

Hebu tuambie what exactly you wanted to say?

Kwamba tuachane na utaratibu wa kujiongoza katika misingi ya kisheria na kikatiba twende tu kama "SHAMBA LA WANYAMA?"

Mimi umeniacha hoi kabisa kwenye hii statement yako:

"..Watu wetu Bado ni maskini sana kiuchumi na kielimu, hakuna sheria na demokrasia inayoweza kufua dafu 100% katikati ya watu maskini, wajinga na wenye njaa..."

Kwa ufahamu na ninavyoelewa ni kuwa "sheria" na "uhuru wa kidemokrasia" ni utaratibu tu wa "do" and "don't" juu ya makubaliano ya jamii ya namna wanavyoweza kuishi kwa pamoja kwa usawa, amani na utulivu bila kujali hali/status zao..

Kwa hoja yako hiyo👆👆 na kwa mujibu wa huyo Abram Maslow's uliyemkwoti, nini sasa mbadala wa mazingira haya?

Wewe ungependa watu hawa wasio na elimu, wenye njaa na masikini sana waishi ktk mfumo gani Ili wasiwe na hali hizo..?

Na hii jamii ya kimasikini kiuchumi, yenye njaa na isiyo na elimu unayoisema hapa isiyohitaji sheria wala demokrasia katika mfumo wao wa maisha wanakuwa wanaongozwa na mtu gani toka sayari ipi kama si moja miongoni wao?

Kama ni hivi, utazitupa wapi sheria, kanuni na taratibu pamoja na uhuru wa watu ambao siku zote ndiyo mwongozo wa jamii yoyote iliyostaarabika ktk kujiendeleza kijamii na kiuchumi?

Hakuna ubishi na nakubaliana kabisa na wewe kwenye hili👇

"....Kwa maoni yangu mm amani na utulivu wetu hautokani na Sheria peke yake, bali ni pamoja na utamaduni, mazoea, uvumilivu, woga, sera, hulka ya watanzania na sheria.."

Lakini above all KANUNI, SHERIA na KATIBA ndiyo msingi wa yote hayo na siku zote hivi vipo juu ya utamaduni, mazoea, imani ya mtu, mazoea ya mtu, sera za mtu/chama na ktk hulka ya mtu..

Na katika yote hayo toa ishu ya woga. Woga wa nini hapa? Woga siku zote ni adui wa mafanikio na maendeleo..
 
Yaani nimekusoma hadi mwisho, nimeshindwa kukupata wala kuelewa hoja yako..

Mtu akikusoma atakuona kama vile una hoja hivi, unakwenda na hoja yako weeeeeee , lakini ghafla mtiririko wako ukakatikia njiani bila hitimisho ukiacha wasomaji wasijue ulikuwa unataka nini hasa..!

Hebu tuambie what exactly you wanted to say?

Kwamba tuachane na utaratibu wa kujiongoza katika misingi ya kisheria na kikatiba twende tu kama "SHAMBA LA WANYAMA?"

Mimi umeniacha hoi kabisa kwenye hii statement yako:

"..Watu wetu Bado ni maskini sana kiuchumi na kielimu, hakuna sheria na demokrasia inayoweza kufua dafu 100% katikati ya watu maskini, wajinga na wenye njaa..."

Kwa ufahamu na ninavyoelewa ni kuwa "sheria" na "uhuru wa kidemokrasia" ni utaratibu tu wa "do" and "don't" juu ya makubaliano ya jamii ya namna wanavyoweza kuishi kwa pamoja kwa usawa, amani na utulivu bila kujali hali/status zao..

Kwa hoja yako hiyo👆👆 na kwa mujibu wa huyo Abram Maslow's uliyemkwoti, nini sasa mbadala wa mazingira haya?

Wewe ungependa watu hawa wasio na elimu, wenye njaa na masikini sana waishi ktk mfumo gani Ili wasiwe na hali hizo..?

Na hii jamii ya kimasikini kiuchumi, yenye njaa na isiyo na elimu unayoisema hapa isiyohitaji sheria wala demokrasia katika mfumo wao wa maisha wanakuwa wanaongozwa na mtu gani toka sayari ipi kama si moja miongoni wao?

Kama ni hivi, utazitupa wapi sheria, kanuni na taratibu pamoja na uhuru wa watu ambao siku zote ndiyo mwongozo wa jamii yoyote iliyostaarabika ktk kujiendeleza kijamii na kiuchumi?

Hakuna ubishi na nakubaliana kabisa na wewe kwenye hili👇

"....Kwa maoni yangu mm amani na utulivu wetu hautokani na Sheria peke yake, bali ni pamoja na utamaduni, mazoea, uvumilivu, woga, sera, hulka ya watanzania na sheria.."

Lakini above all KANUNI, SHERIA na KATIBA ndiyo msingi wa yote hayo na siku zote hivi vipo juu ya utamaduni, mazoea, imani ya mtu, mazoea ya mtu, sera za mtu/chama na ktk hulka ya mtu..

Na katika yote hayo toa ishu ya woga. Woga wa nini hapa? Woga siku zote ni adui wa mafanikio na maendeleo..
Unapotumga Sheria na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya kutotupa taka taka ovyo lazima uhakikishe umeweka sehemu (mapipa) ya kutupia takataka, unaposema watu wasichimbe dawa njiani lazima kuwe na sehemu za kuchimbia dawa. Hata TLS lazima ihusike na the immediate, underlying and basic causes ya shida za watanzania badala ya kwenda kuhangaikia na just immediate causes of the problems. Tunataka hata Sheria ije na majibu halisi juu ya kwanini tuko maskini tena bara lote la Africa hasa kusini mwa jangwa la Africa. Isije na hoja nyepesi kama kuhamisha wamasai Ngorongoro, au kuiba kura kwenye uchaguzi au mkataba gani sijui hauko sawa. Haya ni mambo mepesi sana kuliko umaskini na maisha ya watanzania. Mimi sitajali kama akitokea mtu akavunja Sheria kwa kuwaswaga vijana wote warudi vijijini wakalime na kufuga na kuvua na kuhakikisha kuwa wanarudi na kulima kwa nguvu
 
Yaani nimekusoma hadi mwisho, nimeshindwa kukupata wala kuelewa hoja yako..

Mtu akikusoma atakuona kama vile una hoja hivi, unakwenda na hoja yako weeeeeee , lakini ghafla mtiririko wako ukakatikia njiani bila hitimisho ukiacha wasomaji wasijue ulikuwa unataka nini hasa..!

Hebu tuambie what exactly you wanted to say?

Kwamba tuachane na utaratibu wa kujiongoza katika misingi ya kisheria na kikatiba twende tu kama "SHAMBA LA WANYAMA?"

Mimi umeniacha hoi kabisa kwenye hii statement yako:

"..Watu wetu Bado ni maskini sana kiuchumi na kielimu, hakuna sheria na demokrasia inayoweza kufua dafu 100% katikati ya watu maskini, wajinga na wenye njaa..."

Kwa ufahamu na ninavyoelewa ni kuwa "sheria" na "uhuru wa kidemokrasia" ni utaratibu tu wa "do" and "don't" juu ya makubaliano ya jamii ya namna wanavyoweza kuishi kwa pamoja kwa usawa, amani na utulivu bila kujali hali/status zao..

Kwa hoja yako hiyo👆👆 na kwa mujibu wa huyo Abram Maslow's uliyemkwoti, nini sasa mbadala wa mazingira haya?

Wewe ungependa watu hawa wasio na elimu, wenye njaa na masikini sana waishi ktk mfumo gani Ili wasiwe na hali hizo..?

Na hii jamii ya kimasikini kiuchumi, yenye njaa na isiyo na elimu unayoisema hapa isiyohitaji sheria wala demokrasia katika mfumo wao wa maisha wanakuwa wanaongozwa na mtu gani toka sayari ipi kama si moja miongoni wao?

Kama ni hivi, utazitupa wapi sheria, kanuni na taratibu pamoja na uhuru wa watu ambao siku zote ndiyo mwongozo wa jamii yoyote iliyostaarabika ktk kujiendeleza kijamii na kiuchumi?

Hakuna ubishi na nakubaliana kabisa na wewe kwenye hili👇

"....Kwa maoni yangu mm amani na utulivu wetu hautokani na Sheria peke yake, bali ni pamoja na utamaduni, mazoea, uvumilivu, woga, sera, hulka ya watanzania na sheria.."

Lakini above all KANUNI, SHERIA na KATIBA ndiyo msingi wa yote hayo na siku zote hivi vipo juu ya utamaduni, mazoea, imani ya mtu, mazoea ya mtu, sera za mtu/chama na ktk hulka ya mtu..

Na katika yote hayo toa ishu ya woga. Woga wa nini hapa? Woga siku zote ni adui wa mafanikio na maendeleo..
Katiba zetu hizi tumezilithi na kulazimishwa kuingiza baadhi ya vipengele ambayo sio kwaajili ya manufaa yetu. Sisi Bado tunahangaishwa na namna ya kupata maji, chakula, hewa safi, malazi, matibabu, na mavazi. Tena sio sisi TU ni bara zima la Africa kusini mwa jangwa. TLS itufengulie mitego hii inayotuangusha afrika nzima. Kule Kenya wenzetu sheria inaonekana kwa macho ikifanyakazi yake. Viongozi wanabadilika ikulu lakini maisha ya wananchi yameendelea kubaki palepale au chini zaidi kionuesha kuwa Shida yetu sio katiba Wala sheria. Sheria inaweza kufuta uchaguzi wote na kurudia uchaguzi kwa gharama nyingine wakati huohuo watu hawana Hela ya kuwapatia watu maji Wala chakula.

Sheria ndiyo lakini watu wetu hawana haja sana ya Sheria.
 
Unapotumga Sheria na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya kutotupa taka taka ovyo lazima uhakikishe umeweka sehemu (mapipa) ya kutupia takataka, unaposema watu wasichimbe dawa njiani lazima kuwe na sehemu za kuchimbia dawa. Hata TLS lazima ihusike na the immediate, underlying and basic causes ya shida za watanzania badala ya kwenda kuhangaikia na just immediate causes of the problems. Tunataka hata Sheria ije na majibu halisi juu ya kwanini tuko maskini tena bara lote la Africa hasa kusini mwa jangwa la Africa. Isije na hoja nyepesi kama kuhamisha wamasai Ngorongoro, au kuiba kura kwenye uchaguzi au mkataba gani sijui hauko sawa. Haya ni mambo mepesi sana kuliko umaskini na maisha ya watanzania. Mimi sitajali kama akitokea mtu akavunja Sheria kwa kuwaswaga vijana wote warudi vijijini wakalime na kufuga na kuvua na kuhakikisha kuwa wanarudi na kulima kwa nguvu

OK..

Nimekupata. Na kwa hakika haya ni maoni na mtazamo wako ambao kwa 90% nakubaliana na wewe..

Nami kwa maoni yangu nasema: Kuiongoza jamii ili kufikia maendeleo kijamii na kiuchumi pasipo kuzingatia na kufuata miongozo inayo - harmonize michakato yetu ya kimaendeleo, nadhani itakuwa ni kujiwekea kizingiti zaidi cha kupiga hatua za haraka za kufikia hayo maendeleo..

Ili kufanya jambo lolote, ni vyema mno jambo hilo kufanyika kwa uwazi na kwa kufuata utaratibu wa haki na ulio wazi kwa kila mtu..

Mathalani, haieleweki kwa hakika ni serikali inatumia sheria na utaratibu upi kuwalazimisha wamasai wa Ngorongoro, Loliondo na wanavijiji wa maeneo mengine wanafukuzwa au kuhamishwa kwa nguvu kutoka ktk ardhi zao za asili yao. Halafu inafanyika hivyo ili iweje? Hawa watu hawajui na ndio maana inakuwa vita badala ya maendeleo na amani..

Nadhani huu ndio mtazamo wa Adv. Mwabukusi na honestly, yuko sahihi..
 
OK..

Nimekupata. Na kwa hakika haya ni maoni na mtazamo wako ambao kwa 90% nakubaliana na wewe..

Nami kwa maoni yangu nasema: Kuiongoza jamii ili kufikia maendeleo kijamii na kiuchumi pasipo kuzingatia na kufuata miongozo inayo - harmonize michakato yetu ya kimaendeleo, nadhani itakuwa ni kujiwekea kizingiti zaidi cha kupiga hatua za haraka za kufikia hayo maendeleo..

Ili kufanya jambo lolote, ni vyema mno jambo hilo kufanyika kwa uwazi na kwa kufuata utaratibu wa haki na ulio wazi kwa kila mtu..

Mathalani, haieleweki kwa hakika ni serikali inatumia sheria na utaratibu upi kuwalazimisha wamasai wa Ngorongoro, Loliondo na wanavijiji wa maeneo mengine wanafukuzwa au kuhamishwa kwa nguvu kutoka ktk ardhi zao za asili yao. Halafu inafanyika hivyo ili iweje? Hawa watu hawajui na ndio maana inakuwa vita badala ya maendeleo na amani..

Nadhani huu ndio mtazamo wa Adv. Mwabukusi na honestly, yuko sahihi.
T
OK..

Nimekupata. Na kwa hakika haya ni maoni na mtazamo wako ambao kwa 90% nakubaliana na wewe..

Nami kwa maoni yangu nasema: Kuiongoza jamii ili kufikia maendeleo kijamii na kiuchumi pasipo kuzingatia na kufuata miongozo inayo - harmonize michakato yetu ya kimaendeleo, nadhani itakuwa ni kujiwekea kizingiti zaidi cha kupiga hatua za haraka za kufikia hayo maendeleo..

Ili kufanya jambo lolote, ni vyema mno jambo hilo kufanyika kwa uwazi na kwa kufuata utaratibu wa haki na ulio wazi kwa kila mtu..

Mathalani, haieleweki kwa hakika ni serikali inatumia sheria na utaratibu upi kuwalazimisha wamasai wa Ngorongoro, Loliondo na wanavijiji wa maeneo mengine wanafukuzwa au kuhamishwa kwa nguvu kutoka ktk ardhi zao za asili yao. Halafu inafanyika hivyo ili iweje? Hawa watu hawajui na ndio maana inakuwa vita badala ya maendeleo na amani..

Nadhani huu ndio mtazamo wa Adv. Mwabukusi na honestly, yuko sahihi..
Tumetunga sheria wenyewe ya kuweka ardhi yetu yoooote chini ya serikali na Rais awe msimamizi mkuu. Rais ndiye anayepanga au kufuta matumizi yake. Sasa TLS inapaswa kuifuta hiyo sheria kwanza kabla ya kulaumu serikali kuwahamisha wamasai. Pili, asili ya wamasai ni Serengeti sio Ngorongoro, pale napo waliletwa TU. Hivyo wanaweza kuhamishwa pia kama ikibodi, maana sababu za kuhamishwa Serengeti ni zilezile zinazowahamisha Ngorongoro pia.
 
Tumetunga sheria wenyewe ya kuweka ardhi yetu yoooote chini ya serikali na Rais awe msimamizi mkuu.
Rais ndiye anayepanga au kufuta matumizi yake. Sasa TLS inapaswa kuifuta hiyo sheria kwanza kabla ya kulaumu serikali kuwahamisha wamasai. Pili, asili ya wamasai ni Serengeti sio Ngorongoro, pale napo waliletwa TU. Hivyo wanaweza kuhamishwa pia kama ikibodi, maana sababu za kuhamishwa Serengeti ni zilezile zinazowahamisha Ngorongoro pia.

Ok...

Sasa wewe unaonaje? Iko sawa hiyo?

Ni sawa kuyapeleka mambo kitemitemi siyo?

Pamoja na kuwa Rais ndiye castodian wa ardhi yote ya Tanganyika, lakini haina maana kuwa anaweza kufanya vyovyote na kwa namna yoyote juu ardhi hiyo..

Sheria imeweka utaratibu wa kutwaa ardhi ya mtu/watu.

Hakuna sheria inayomruhusu Rais kuhamisha jamii au kabila fulani toka ktk ardhi yao ya asili na kuwapeleka mahali pengine kwenye makabila mengine.

Akifanya hivi, hiyo inakuwa ni uporaji. Hapa ndipo ilipo shida..

Kwa wamasai asili yao ni Serengeti na siyo Ngorongoro au Loliondo?

I bet kuwa, huna taarifa za kutosha. Unacheza na taarifa za kusikia na kuambiwa na haohao wenye nia ovu na wamasai..!!
 
Ok...

Sasa wewe unaonaje? Iko sawa hiyo?

Ni sawa kuyapeleka mambo kitemitemi siyo?

Pamoja na kuwa Rais ndiye castodian wa ardhi yote ya Tanganyika, lakini haina maana kuwa anaweza kufanya vyovyote na kwa namna yoyote juu ardhi hiyo..

Sheria imeweka utaratibu wa kutwaa ardhi ya mtu/watu.

Hakuna sheria inayomruhusu Rais kuhamisha jamii au kabila fulani toka ktk ardhi yao ya asili na kuwapeleka mahali pengine kwenye makabila mengine.

Akifanya hivi, hiyo inakuwa ni uporaji. Hapa ndipo ilipo shida..

Kwa wamasai asili yao ni Serengeti na siyo Ngorongoro au Loliondo?

I bet kuwa, huna taarifa za kutosha. Unacheza na taarifa za kusikia na kuambiwa na haohao wenye nia ovu na wamasai..!!
Ni Sheria hiyo , ibara gani inayomkataza Rais kumsogeza mtu kwenda sehemu nyingine ndani ya Tanzania? Nyerere aliwezaje kujenga vijiji vya ujamaa? Mbona aliwahimisha watu kutoka kwenye maeneo yao kwenda kuanzisha vijiji?
 
Ni Sheria hiyo , ibara gani inayomkataza Rais kumsogeza mtu kwenda sehemu nyingine ndani ya Tanzania? Nyerere aliwezaje kujenga vijiji vya ujamaa? Mbona aliwahimisha watu kutoka kwenye maeneo yao kwenda kuanzisha vijiji?

1. Mimi nimekuambia hakuna sheria inayoruhusu haya yanayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan hata kama Rais ni custodian wa ardhi yote. Kuwa custodian wa mali ya mtu, haina maana kuwa unaruhusiwa kufanya lolote na wakati wowote juu ya mali hiyo.

Lakini wewe kavulata ndiye unayesema kuwa anafanya uharamia huo kwa mujibu wa sheria..!!

Sasa thibitishia jukwaa hili anatumia sheria ipi, ibara gani kuwafanyia wamasai wa Ngorongoro, Loliondo na jamii za wanavijiji wa maeneo mengi Tanganyika?

2. Unazumngumzia ya Hayati Julius K. Nyerere na vijiji vya ujamaa mwaka 1974 - 1975.

Kwa hili iko hivi:

➡Kwanza narudia hoja yangu niliyokuambia hapo awali, kwamba, huna taarifa za kutosha kwa kuwa hujasoma historia vizuri. Ukiwa huna information za kutosha utapotoka na utapotosha wengine pia. Ni wewe kavulata..

➡Ya Julius K. Nyerere na vijiji vya ujamaa ni irrelevant kabisa na kinachofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan..

➡Program ya vijiji vya ujamaa ilikuwa ni kuwapanga watu waishi ktk mpangilio ili kuiwezesha serikali kuwahudumia vyema kama jukumu lako. Iliendeshwa kwa uwazi (japo kwa lazima) na sababu zilikuwa wazi kabisa na leo matunda yake yanaonekana japo Nyerere baada ya miaka kadhaa anakiri kuwa, sera yake hiyo ilikuwa ngumu na mbovu. Pamoja na hili, ktk utekelezaji wake hakuna mtu au kabila ambalo lilikuwa re - allocated kutoka ktk ardhi ya asili yake..!

➡Vijiji vya ujamaa vilikuwa havihamishi kabila au jamii fulani kutoka wilaya au mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine. Kama unabisha na una mfano hata mmoja kupinga hoja hii, utoe na nitakuelewa..

➡Rais Samia anachokifanya ni EVICTION BY FORCE. Yaani kuwanyang'anya wananchi ardhi yao kwa kisingizio cha uwekezaji ukweli ukiwa ni viongozi hawahawa wakishirikiana na mabeberu kupora ardhi za watu kwa sura ya uwekezaji. Hizi ni sera za wakoloni na kikoloni 100%
 
Is
1. Mimi nimekuambia hakuna sheria inayoruhusu haya yanayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan hata kama Rais ni custodian wa ardhi yote. Kuwa custodian wa mali ya mtu, haina maana kuwa unaruhusiwa kufanya lolote na wakati wowote juu ya mali hiyo.

Lakini wewe kavulata ndiye unayesema kuwa anafanya uharamia huo kwa mujibu wa sheria..!!

Sasa thibitishia jukwaa hili anatumia sheria ipi, ibara gani kuwafanyia wamasai wa Ngorongoro, Loliondo na jamii za wanavijiji wa maeneo mengi Tanganyika?

2. Unazumngumzia ya Hayati Julius K. Nyerere na vijiji vya ujamaa mwaka 1974 - 1975.

Kwa hili iko hivi:

➡Kwanza narudia hoja yangu niliyokuambia hapo awali, kwamba, huna taarifa za kutosha kwa kuwa hujasoma historia vizuri. Ukiwa huna information za kutosha utapotoka na utapotosha wengine pia. Ni wewe kavulata..

➡Ya Julius K. Nyerere na vijiji vya ujamaa ni irrelevant kabisa na kinachofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan..

➡Program ya vijiji vya ujamaa ilikuwa ni kuwapanga watu waishi ktk mpangilio ili kuiwezesha serikali kuwahudumia vyema kama jukumu lako. Iliendeshwa kwa uwazi (japo kwa lazima) na sababu zilikuwa wazi kabisa na leo matunda yake yanaonekana japo Nyerere baada ya miaka kadhaa anakiri kuwa, sera yake hiyo ilikuwa ngumu na mbovu. Pamoja na hili, ktk utekelezaji wake hakuna mtu au kabila ambalo lilikuwa re - allocated kutoka ktk ardhi ya asili yake..!

➡Vijiji vya ujamaa vilikuwa havihamishi kabila au jamii fulani kutoka wilaya au mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine. Kama unabisha na una mfano hata mmoja kupinga hoja hii, utoe na nitakuelewa..

➡Rais Samia anachokifanya ni EVICTION BY FORCE. Yaani kuwanyang'anya wananchi ardhi yao kwa kisingizio cha uwekezaji ukweli ukiwa ni viongozi hawahawa wakishirikiana na mabeberu kupora ardhi za watu kwa sura ya uwekezaji. Hizi ni sera za wakoloni na kikoloni 100%
issue Yako hapa ni kuhamisha mtu kwenye eneo lake la asili, Mwl Nyerere alifanya hivyo wakati anajenga vijiji vya ujamaa, Tena watu walikuwa hawafidiwi Wala kupatiwa makazi Wala chakula huko waendako (presidency). Wakoloni waliwahamisha wamasai kutoka Serengeti kwenda ngorongoro bila fidia yoyote (presidency). Lakini Samia anafungwa mikono nyuma asifuate watangulizi wake. Hiyo sio sheria bali ni siasa taka. Yaani unatumia Sheria kwenda ikulu (sheriasa).

Wakoloni na Nyerere walitumia Sheria hiyohiyo ya custodian wa ardhi kuhamisha watu kwenye maeneo yao ya asili kwenda sehemu mpya zisizokuwa na maji, chakula Wala nyumba. Samia nae anatumia Sheria hiyohiyo lakini yeye anatumia utu zaidi kwa kuwapa nyumba, fidia, chakula na ardhi na huduma za afya, umeme na shule.
 
Is

issue Yako hapa ni kuhamisha mtu kwenye eneo lake la asili, Mwl Nyerere alifanya hivyo wakati anajenga vijiji vya ujamaa, Tena watu walikuwa hawafidiwi Wala kupatiwa makazi Wala chakula huko waendako (presidency). Wakoloni waliwahamisha wamasai kutoka Serengeti kwenda ngorongoro bila fidia yoyote (presidency). Lakini Samia anafungwa mikono nyuma asifuate watangulizi wake. Hiyo sio sheria bali ni siasa taka. Yaani unatumia Sheria kwenda ikulu (sheriasa).

Wakoloni na Nyerere walitumia Sheria hiyohiyo ya custodian wa ardhi kuhamisha watu kwenye maeneo yao ya asili kwenda sehemu mpya zisizokuwa na maji, chakula Wala nyumba. Samia nae anatumia Sheria hiyohiyo lakini yeye anatumia utu zaidi kwa kuwapa nyumba, fidia, chakula na ardhi na huduma za afya, umeme na shule.

Hiyo sheria ya "presidency" ni namba ngapi na ibara gani?

Hicho si ndicho ulichoniuliza nikupe ibara/kifungu hapo awali..?

Hata hivyo uelewe tu kuwa Hayati J. K. Nyerere na sera yake ya vijiji vya ujamaa is far irrelevant na kinachofanywa na Samia na kilichofanywa na wakoloni..!

Soma maelezo yangu ya utofauti huo ktk uzi #33 hapo juu..

Hata hivyo, tunaweza kuishia hapa kwa leo. Nimekuelewa na nakuchukulia hivyo hivyo..

Usiku mwema😞😞
 
Hata huko ambako Sheria, haki na demokrasia vinahubiriwa wanawasigina wapalestine hadi tone lao la mwisho. Jamii yenyewe itawapuuza akina mwabukusi mchana kweupe akiangalia kwakuwa hakuna mbadala wa amani na utulivu kwa mtu na taifa. Watu wanataka wapande treni yao ya umeme kwenda kwa shangazi zao.
Nadhani huelewi maana ya amani.

Tanzania utulivu upo kwa sababu utivu unawrza kuwepo kwa sababu ya woga au kutokana na vitosho vya dola. Lakini huwezi kunena kwa uhakika kuwa Tanzania kuna amani. Amani inatokana na kuridika kwa nafsi ya mtu. Mtu anayebambikiwa kesi, anayrbambikiwa kodi, mtu ambaye ana wasiwasi wa kutekwa au ndugu yake ametejwa haijulikani aliko, mtu ambaye hajui kesho atakula nini, mtu ambaye hana uwezo wa kujitibu huku akiwa anaumwa, mtu ambaye anaenda mahakamani lakini haipati haki yake kwa kuwa hana hela ya kumhonga hakimu, mtu ambayr anajua kuwa kodi yake inachezewa na kuibiwa na watawala: kamwe hawezi kuwa na amani. Na haya yote ndiyo yaliyo nchini Tanzania.
 
I
Nadhani huelewi maana ya amani.

Tanzania utulivu upo kwa sababu utivu unawrza kuwepo kwa sababu ya woga au kutokana na vitosho vya dola. Lakini huwezi kunena kwa uhakika kuwa Tanzania kuna amani. Amani inatokana na kuridika kwa nafsi ya mtu. Mtu anayebambikiwa kesi, anayrbambikiwa kodi, mtu ambaye ana wasiwasi wa kutekwa au ndugu yake ametejwa haijulikani aliko, mtu ambaye hajui kesho atakula nini, mtu ambaye hana uwezo wa kujitibu huku akiwa anaumwa, mtu ambaye anaenda mahakamani lakini haipati haki yake kwa kuwa hana hela ya kumhonga hakimu, mtu ambayr anajua kuwa kodi yake inachezewa na kuibiwa na watawala: kamwe hawezi kuwa na amani. Na haya yote ndiyo yaliyo nchini Tanzania.
Uzuri wenyewe nimewahi kuishi nchi za ulaya, Marekani, Uganda, Kenya na Ethiopia. Huko kote Kuna watu wenye njaa, wasioweza kujitibu, wasiokuwa na pakulala, na wasiokuwa na Hela za kulipa mawakili hivyo wako magerezani bila kosa. Kuna wengine wanapigwa bunduki TU na watu na Kuna wengine wanafanyiwa bullying na wengine. Hakuna haki kwa wote kaka tusidanganyane.
 
Ok...

Sasa wewe unaonaje? Iko sawa hiyo?

Ni sawa kuyapeleka mambo kitemitemi siyo?

Pamoja na kuwa Rais ndiye castodian wa ardhi yote ya Tanganyika, lakini haina maana kuwa anaweza kufanya vyovyote na kwa namna yoyote juu ardhi hiyo..

Sheria imeweka utaratibu wa kutwaa ardhi ya mtu/watu.

Hakuna sheria inayomruhusu Rais kuhamisha jamii au kabila fulani toka ktk ardhi yao ya asili na kuwapeleka mahali pengine kwenye makabila mengine.

Akifanya hivi, hiyo inakuwa ni uporaji. Hapa ndipo ilipo shida..

Kwa wamasai asili yao ni Serengeti na siyo Ngorongoro au Loliondo?

I bet kuwa, huna taarifa za kutosha. Unacheza na taarifa za kusikia na kuambiwa na haohao wenye nia ovu na wamasai..!!
Wakoloni waliset presidency kwa kuwahamisha (displace) wamasai na makabila mengine na kutwaa ardhi zao kwa matumizi mengine, Nyerere akaitumia hiyo hiyohiyo presidency displace wananchi kuhamia vijiji vya ujamaa, Mkapa alidisplace watu kuchukua maeneo yao kuchimba madini (migodi), lakini Samia hatakiwi kutumia hizo presidency kuwahamisha wamasai Kupisha utalii. Upuuzi
 
Sheria ni nini na utawala wa sheria ni nini?
Demokrasia ni nini na utawala wa kidemokrasia ni nini?
Utawala bora ni ule unaotegemea mifumo bora inayofuatwa, au hulka za kiongozi aliyeko na ubora wake?
Amani ni nini? Maendeleo ni nini?

Ni nini sababu za vita Congo, Sudan, Somalia au Palestine na Israel?
IMG-20240803-WA0015.jpg
 
Back
Top Bottom