Uchaguzi ujao utakuwa ni wanaume vs wanawake.

Uchaguzi ujao utakuwa ni wanaume vs wanawake.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Watawala wetu siku zote na muda wote wanataja wanawake, wanawake, wasichana, wasichana muda wote kwenye mipango yao. Wanaume na wavulana hawasikiki hata kidogo.

Kama atajitokeza mgombea mwanaume anaeaminika (sio Lissu) patachimbika. Vijana wa kiume wanavuja damu kwenye mioyo yao. Hawajisikii majina yao.

Kamala Harris alikuwa ni wanawake wanawake wanawake Kila wakati na Kila Kona akakiona cha moto. Hakuwa na sera yoyote kuhusu vijana wa kiume na wanaume.
 
Watawala wetu siku zote na muda wote wanataja wanawake, wanawake, wasichana, wasichana muda wote kwenye mipango yao. Wanaume na wavulana hawasikiki hata kidogo.

Kama atajitokeza mgombea mwanaume anaeaminika (sio Lissu) patachimbika. Vijana wa kiume wanavuja damu kwenye mioyo yao. Hawajisikii majina yao.
Hakunaga uchaguz Tanzania.
Ni uteuzi tu.
Uchaguzi ni kitu kingine labda Nyerere arudi
 
Hata msumbiji walikuwa wanafikiria kama hivyo, lakini kumbe sio hivyo siku zote.
 
Watawala wetu siku zote na muda wote wanataja wanawake, wanawake, wasichana, wasichana muda wote kwenye mipango yao. Wanaume na wavulana hawasikiki hata kidogo.

Kama atajitokeza mgombea mwanaume anaeaminika (sio Lissu) patachimbika. Vijana wa kiume wanavuja damu kwenye mioyo yao. Hawajisikii majina yao.


Tatizo la single mother ni kubwa na litakua kubwa sana kama tutaendelea kuongoza na mama mwenye nyumba.


Watoto wadogo wana tabia ya kuiga Mtu mashuhuri . Leo vijana wengi wamekuwa machawa kwa sababu wanajua mama mwenye nyumba ni kawaida kupenda kutukuzwa na kuheshimiwa . Na kawaida mama mwenye nyumba hua anapenda watu wanaoishi single.

Lakini pia nchi za magharibi zilitukuza na kupendelea sana wanawake kwa kila nyimbo na maigizo na move matokeo yake watoto wa kiume wakajiona kuwa wana bahati mbaya kuzaliwa wanaume na sasa wamefikia mahali wanaume ndio wanaopenda kujibadilisha kuwa wanawake .

Mila zetu za kiafrika ,tamaduni zetu ,dini zetu ,matambiko yetu na hata dini zilizokuja na majahazi ni mkosi mkubwa wanaume kufanya matambiko au hata biashara kwa kusuongozwa na wanawake.


Tunadhoofisha sana watoto wa kiume na wengi sasa wanakua na tabia za kike kike kwa sababu wanaona wanaume wanaishi kama machawa wakati wanawake waleshateka utawala wao na baba zao wanakenua meno kwa hofu na woga wa kupoteza teule.

Mabeyo alitukosea sana kuligeuza taifa kuwa Koloni lisilo na mwenyewe.

MUNGU tuepushe na mipango miovu ya shetani kuondoa kizazi cha mwanadamu kwa kuwadhoofisha wanaume ili baadae walete watoto wa kutengenezwa maabara.
 
Tatizo la single mother ni kubwa na litakua kubwa sana kama tutaendelea kuongoza na mama mwenye nyumba.


Watoto wadogo wana tabia ya kuiga Mtu mashuhuri . Leo vijana wengi wamekuwa machawa kwa sababu wanajua mama mwenye nyumba ni kawaida kupenda kutukuzwa na kuheshimiwa . Na kawaida mama mwenye nyumba hua anapenda watu wanaoishi single.

Lakini pia nchi za magharibi zilitukuza na kupendelea sana wanawake kwa kila nyimbo na maigizo na move matokeo yake watoto wa kiume wakajiona kuwa wana bahati mbaya kuzaliwa wanaume na sasa wamefikia mahali wanaume ndio wanaopenda kujibadilisha kuwa wanawake .

Mila zetu za kiafrika ,tamaduni zetu ,dini zetu ,matambiko yetu na hata dini zilizokuja na majahazi ni mkosi mkubwa wanaume kufanya matambiko au hata biashara kwa kusuongozwa na wanawake.


Tunadhoofisha sana watoto wa kiume na wengi sasa wanakua na tabia za kike kike kwa sababu wanaona wanaume wanaishi kama machawa wakati wanawake waleshateka utawala wao na baba zao wanakenua meno kwa hofu na woga wa kupoteza teule.

Mabeyo alitukosea sana kuligeuza taifa kuwa Koloni lisilo na mwenyewe.

MUNGU tuepushe na mipango miovu ya shetani kuondoa kizazi cha mwanadamu kwa kuwadhoofisha wanaume ili baadae walete watoto wa kutengenezwa maabara.
Kule Marekani vijana wa kiume wengi walikimbilia kwa trump kujiokoa. Watawala wetu wanajisahau sana, wanawachukia wanaume kama wanavyowachukia wanaume wao kwasababu za ukewenza na shida za familia.
 
Back
Top Bottom