Uchaguzi Urais, USA - 2020: Anavyopigwa Donald Trump (R) katika Ballot Box, ndivyo ambavyo alikuwa anapigwa John P. Magufuli (CCM)..

Point namba moja..ni similar to Magufuli alipoigawa Tanzania na kuleta chuki na taharuki. rejea matamko yake ya kutopeleka maendeleo sehemu walizochaguliwa wapinzani kikatiba.

Kuhusu corona, tushukuru tu Mungu jiografia yetu imetubeba pia population ya Tanzania si sawa na Marekani, Hivyo kama coronà ingetukamata vizuri, Magufuli will be a big looser.!
 
Trump bado ana fursa ya kwenda mahakamani kupinga matokeo hiyo ndio tofauti ya demokrasia na udikteta.

Hapa unapigwa na kudhulumiwa kisha unalazimishwa uunge mkono juhudi au uletewe wasiojulikana.

Ndio maana nchi kama hizi ni laana tupu hata tufanyeje maendeleo ni ndoto tu kwa sababu dhuluma ndio sera kuu ya serikali, haki ni mwiko.
 

Wakuu, uchaguzi imeisha tuungane tuwe dugu moja tujiletee maendeleo ya mtu mmojammoja.

Kama mmeamua kuendeleza kampeni bado mna nafasi cha msingi ni kujipanga.

Mi saa hizi naingia hapa mtaa wa Jamatini kupata chochote, nimetamani supu ya ulimi wa ng'ombe.

Kila la kheri wakuu.
 
Tuwe WA moja na jizi?
 
kijana umepewa uhuru wa kutoa maoni katu usiutumie vibaya kwa kumsema vibaya Rais wetu. Kama humpendi hama nchi nendaa nchi zingine hukoo
 
will be[emoji777], would be[emoji818]
 
Breaking News: It is over! It is now President-Elect Joseph Robinette Biden!
Hiyo ni baada ya majadiliano makali nyuma ya pazia.

Lakini bado Tump hataondoka kimyakimya.
 
Mtoa mada MAGUFULI sio wa kushindwa na mtu mropokaji kama Tundu lissu ,hata MUNGU angekuja kusimamia uchaguz wa Tanzania bado MAGUFULI angeshinda kwa aslmia kwanzia 80,,,
 
kwani IGP wa kule ni Sirro ?
 
Mimi nawaoongeza Marekani kwa kuweka taasisi imara zinazosimamia haki na maoni ya wananchi kiasi kwamba Raisi akiwa madarakani hawezi kuingilia taasisi na kuziamurisha atakavyo na pia Raisi hawezi kuwa dictator na kuharibu tofauti na huku Africa, Raisi ni mungu mtu, anaingilia kila state organ, haheshimu katiba, Wala wataalamu, dah Mimi hapo ndio nawapomgeza wazungu walio establish taasisi imara
 
Tushauri sasa tufanyeje? Na walioshindwa huku waende mahakamani au waandamane?
Siandiki na kukuambia nini cha kufanya juu ya dhuluma..

Tunaandika haya ili watu waijue kweli ya nini kilichotokea na waamue wenyewe cha kufanya..

Mtu akiamua ku - connive na wezi wa haki za watu, afanye vile akijua na mtu anayekataa uhuni aukatae toka ndani ya nafsi yake...
 

Nimeandika kwa muono wangu..

Wewe vipi, unasemaje? Kama hafanani naye, basi eleza anatofautiana naye kwa mambo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…