Uchaguzi Urais, USA - 2020: Anavyopigwa Donald Trump (R) katika Ballot Box, ndivyo ambavyo alikuwa anapigwa John P. Magufuli (CCM)..

Kama una ushahidi na uyasemayo na ikathibitika mahakamani basi peleka madai yako huko.

Vinginevyo unamkashifu kiongozi alieapishwa rasmi kuwa raisi wa JMT.

Defenetely, YES..

Lakini katiba mpya pekee haitoshi..

Dhamira safi ya MIOYO na NAFSI maarufu kama "UTASHI CHANYA WA KISIASA" are the added qualities kwa ajili ya ustawi wa jamii yetu...
Tena hili litaleta uwajibikaji WA kweli sio unawadanganya Wananchi WA Songwe kuwa huwaletei Maji Kwa kuwa wamechagua mpinzani wakati Kongwa kuna mbunge WA maisha WA CCM na wanakunywa matope.
 
kijana umepewa uhuru wa kutoa maoni katu usiutumie vibaya kwa kumsema vibaya Rais wetu. Kama humpendi hama nchi nendaa nchi zingine hukoo
Huo uhuru unaouzungumzia ndio huu huu wa kufungia mitandao ya kijamii.?
 
Mtoa mada MAGUFULI sio wa kushindwa na mtu mropokaji kama Tundu lissu ,hata MUNGU angekuja kusimamia uchaguz wa Tanzania bado MAGUFULI angeshinda kwa aslmia kwanzia 80,,,
Kijana usimfananishe Mungu na kiumbe dhaifu kama Magufuli.

Japo ni uhuru wako wa maoni, nami natumia uhuru wangu kukukosoa.
 
Kula like 1000
 
Tokaa zako hujielewi
 
Pamoja na kwamba r
Suluhu la haya yote ni katiba mpya

Katiba kama haina watu wa kuisimamia na kuitetea, hata kama iwe nzuri kiasi gani, haina maana yoyote.
Tatizo kubwa ni watu wa kuhakikisha katiba inafuatwa kabla ya kudai mpya.
Hata hivyo, raisi Magufuli ana faida nyingi sana kwa nchi kuliko hasara.
 
Katika kosa kubwa Wamarekani wamejutia kwa miaka minne iliyopita, ni kumuweka madarakani Rais Kichaa. Kosa ambalo Watanzania wamekataa kulifanya 2020.
 
Mkuu, umesahau kutoa SULUHISHO. Nini kifanyike sasa, baada ya UDHALIMU kutamalaki nchini?
 
..labda tumuulize Nyani Ngabu, "IGP Sirro" wa Marekani ni nani?

..imekuwaje akamuacha Amiri Jeshi Mkuu akapigwa mueleka kwenye uchaguzi mkuu?
Hahahaaa.

Umenikumbusha kuna siku moja hivi wakati wa yale maandamano ya Marekani.

Kuna mtu nilikuwa nabishana naye humu kuhusu madaraka ya Rais wa Marekani.

Yeye huyo jamaa eti akasema kwamba Rais wa Marekani ndiye Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Note: majeshi ya ulinzi na usalama.
 

..hata mimi ningekubishia.

..hivi si wanasema Raisi wa Marekani kila anapokwenda anatembea na kisanduku kina code za kufyatua makombora ya nuclear?

..sasa ina maana Trump anaweza kufyatua makombora ya Nuclear lakini mabomu ya machozi kusambaratisha wahuni wanaoiba kura hawezi kuamrisha?

..labda ndio maana Maraisi wa Marekani wanamalizia hasira zao kwa kina Gaddafi na Saddam Hussein, kwasababu ndani ya Marekani wanavutwa masikio.
 
Mtoa mada MAGUFULI sio wa kushindwa na mtu mropokaji kama Tundu lissu ,hata MUNGU angekuja kusimamia uchaguz wa Tanzania bado MAGUFULI angeshinda kwa aslmia kwanzia 80,,,
Wewe sasa unafanya kufuru!

Unadiriki kusema kuwa hata Mungu angekuja kusimamia uchaguzi hapa TZ bado Magufuli angeshinda?
 
Hahahaaa.

I know you know better....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…