Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yamekuwa tofauti sanaKwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.
Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!
Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.
Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
π€£π€£π€£π€£Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.
ππππππππππ Tena ukajiamini kabisaaaa.
Ramani ya kwenye karatasi..?Tanganyika iko wapi kwenye ramani ? Je kwenye orodha ya mataifa huru chini ya UN Tanganyika iko namba ngapi?
Kuelewa hili humhitaji Tundu Lissu bali ni akili zako timamu tu...Acheni kukaririshwa na hoja za uzushi za akina Tundu Lissu
Haya haya haya niliwaambia ndg zangu wakabisha. Kiko wapi? Mwendo ni uleule... Sasa inakuja ushindi wa CCM vijiji na vitongoji na urais.Mashabiki wa Kamara Harris mko wapi? Siku 3 kuelekea uchaguzi Trump na Kamara wamefungana kwenye national polls wakati Trump akiongoza kwenye Swing states.
Jamii ya waarabu ya Michigani imemkataa Kamara na ime muendorse Trump. Njia ya ushindi kwa Trump ni wazi wasipoiba uchaguzi. Washaanza ila wanapigwa spana
Haya nendeni mkaishi kwenye mioyo yenu.Ramani ya kwenye karatasi..?
Ipo kwenye mioyo yetu, iko mbinguni mbele ya Mungu...
Ni kuwa tu imeibiwa na kufichwa sehemu...
Tutairudisha tu toka huko mafichoni....!
Kuelewa hili humhitaji Tundu Lissu bali ni akili zako timamu tu...