Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.


πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Tena ukajiamini kabisaaaa.
 
Mambo yamekuwa tofauti sana
 
🀣🀣🀣🀣
 
Tanganyika iko wapi kwenye ramani ? Je kwenye orodha ya mataifa huru chini ya UN Tanganyika iko namba ngapi?
Ramani ya kwenye karatasi..?

Ipo kwenye mioyo yetu, iko mbinguni mbele ya Mungu...

Ni kuwa tu imeibiwa na kufichwa sehemu...

Tutairudisha tu toka huko mafichoni....!
Acheni kukaririshwa na hoja za uzushi za akina Tundu Lissu
Kuelewa hili humhitaji Tundu Lissu bali ni akili zako timamu tu...
 
Haya haya haya niliwaambia ndg zangu wakabisha. Kiko wapi? Mwendo ni uleule... Sasa inakuja ushindi wa CCM vijiji na vitongoji na urais.
 
Ramani ya kwenye karatasi..?

Ipo kwenye mioyo yetu, iko mbinguni mbele ya Mungu...

Ni kuwa tu imeibiwa na kufichwa sehemu...

Tutairudisha tu toka huko mafichoni....!

Kuelewa hili humhitaji Tundu Lissu bali ni akili zako timamu tu...
Haya nendeni mkaishi kwenye mioyo yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…