UCHAGUZI UVCCM: Kawaida kutoka Zanzibar Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Taifa, Rehema Sombi Makamu Mwenyekiti Taifa

Kuna harufu ya Saudi Arabia hapa so bure
Mi naiona Oman tupu hapa,kila kitu kilibinywa kuhakikisha ama Mzenj au Mu Oman ndio anashinda,kuelekea 2025!Samia lazima atacheza kadi ya udini!!kama alivyofsnya Kikwete,au ukabila kama alivyofsnya Jiwe.
 
Mi naiona Oman tupu hapa,kila kitu kilibinywa kuhakikisha ama Mzenj au Mu Oman ndio anashinda,kuelekea 2025!Samia lazima atacheza kadi ya udini!!kama alivyofsnya Kikwete,au ukabila kama alivyofsnya Jiwe.
Nenda kaangalie aliyeshinda UWT then njoo u comment hapa
 
Kwahiyo ndo mmeamua kupindua meza!!!!??? Kweli CCM ni Chanzo Cha Matatizo ya nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…