Uchaguzi wa 2020 ulivyoweka vibaraka wa Mwigulu Jimbo la Iramba

Uchaguzi wa 2020 ulivyoweka vibaraka wa Mwigulu Jimbo la Iramba

Kama unaushahidi kura ziliibiwa mbona hujasema tangu mwanzo au mgombea aliyeshindwa mbona hajaenda Mahakamani kushitaki ili matokeo yatenguliwe?
Mkuu Uchaguzi wa Mwaka 2020 hivi kwa dhuluma ile ilivyopangwa kweli mtu utaweza kwenda Mahakama zetu hizi? Yaani kweli kabisa unashauri hivyooo Mkuu! Mwigulu mwenyewe alikuwa anatangulia kuwaambia wapinzani wake "Nenda Mahakamani" hivi unafirkiri huo sio mtego?
 
Back
Top Bottom