Uchaguzi wa Bawacha moto mkali, fomu zaanza kuchukuliwa kwa kasi kubwa, wazito waanza kujitokeza kwa kishindo

Kama hutojali mkuu unaweza kutuwekea na CV zao?
 
Hawa ndio mwisho wa siku wanatusaliti kama mdee na wenzake

Safari hii chujio liwe makini kuchungulia walioletwa na CCM na kuwajua ni kuangalia nani anamwaga mipesa hovyo, pili historia ya nyuma nje ya chama na ndani ya chama izingatiwe kwa kila mgombea na mwisho elimu ya mgombea iwe angalau form four kwenda mbele pamoja na kuolewa iwe ni sifa mojawapo ili kuzuia new strains covid 19x
 
Kama hutojali mkuu unaweza kutuwekea na CV zao?
Una hoja nzuri , lakini tunatarajia watia nia zaidi ya elfu 2 , sasa kuweka wasifu wa kila mtu si rahisi , tutakachofanya ni kuweka CV ya watakaopitishwa kugombea , vuta subira kidogo
 
Wale COvido walijiona wao ndiyo chama - ha ha ha kwishney - CDM bana mnatupa rahaa nyieee - hamjui tu!!
 
hicho kigezo cha elimu ondoa kabisa kimekujaje wakati hata mwenyekiti wetu alipata dv0 utatusamehe pia cha kuolewa mwenye hii saccos yake alimwacha mkewe na kujitwalia mbunge wa viti maalum hicho kigezo hakitufai
 
Hizo ni fursa za kupata visibility ya kuja kuhamia CCM.
ni kweli kabisa anachukua fomu asipoteuliwa anajiengua na kuja CCM kwa kigezo cha kusema wana kikundi kutoka kaskazini hawana demokrasia kumbe ilikuwa tiketi ya kuondoka
 
Muhimu : Wote wanaofika kwenye ofisi za Chadema kuchukua fomu za kuomba uongozi WAZINGATIE MWONGOZO WA WHO KATIKA KUDHIBITI CORONA
 
Kwenye usomi wala utajiri haupo. Unaweza kuwa na vihela vya kula unavyohongwa na hao bwana zako kwenye chama.

Ninao uwezo mkubwa kukusoma kutokana na maandishi yako.
Wewe ndiyo umejiweka wazi mno kwa jinsi ulivyoandika...
 
Acheni kudanganya umaa. Hakuna alievuliwa uanachama , ila nijanja yenu kupeleka wabunge bungeni ilikuweka wafuasi kwenye msitari kwamba mlipinga matokeo. Hivyo tumeshawagundua kabisaa
 
Most likely scenario: Mara tu baada ya BAWACHA kumaliza mchakato wa kupata viongozi kuziba pengo la wale walioondolewa na kufukuzwa, Baraza Kuu litakutana na kuamua kuwasamehe wale akina mama ili wawe wanachama wa kawaida tu na wasaidie kujenga chama
Asante kwa taarifa
 
Kisheria, unapo kata rufaa ya kupinga hukumu na adhabu, hakuna kinacho tekelezwa mpaka kusilizwa kwa rufaa yako. Na rufaa inaweza
1) kudhibitisha hukumu na adhabu
2) au kutupilia mbali hukumu ikiwa na maana na adhabu pia.
3) kuthibitisha hukumu na au kuongeza au kupunguza adhabu.
Vile wasikiliza hukumu wataona inafaa.
 
Umenukuu katiba ya Chadema ?
 
Bawacha bila Mdee na Bulaya ni sawa na Malaya asiye na tacall. Bawacha inakosa mvuto.
 
πŸ™ πŸ™ πŸ˜†πŸ˜†β£οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…