Pre GE2025 Uchaguzi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa watikisa, Matokeo yasubiriwa kwa hamu

Pre GE2025 Uchaguzi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa watikisa, Matokeo yasubiriwa kwa hamu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu

Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona

Screenshot_2024-05-29-18-42-32-1.png
Screenshot_2024-05-29-18-42-14-1.png
Screenshot_2024-05-29-18-42-22-1.png
Screenshot_2024-05-29-18-43-00-1.png


Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
======

Matokeo kamili haya hapa

Screenshot_2024-05-29-20-44-31-1.png
Screenshot_2024-05-29-20-44-37-1.png
 
Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu

Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona

View attachment 3003066View attachment 3003070View attachment 3003091View attachment 3003095

Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
Mbowe akitaka lake hakuna kushindwa kreti 4 za chimpuni chaliiiii analeta maneno na ngonjera!
 
Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu

Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona

View attachment 3003066View attachment 3003070View attachment 3003091View attachment 3003095

Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
======

Matokeo kamili haya hapa

View attachment 3003125View attachment 3003126
Rushwa tupu
 
Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu

Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona

View attachment 3003066View attachment 3003070View attachment 3003091View attachment 3003095

Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
======

Matokeo kamili haya hapa

View attachment 3003125View attachment 3003126
Kutapatapa Kwa Lisu na Msingwa hakujamsaidia.

Kiufupi wagombea wote wa Mbowe Wameshinda huku wale wa Lisu wakiangukia Pua .

Unaleta mchezo na Nguvu ya pesa 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7j3JPVC4kt/?igsh=NWs5MmZmc3lpcm1j
 
Back
Top Bottom