Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Je yeye Mama atashinda Urais?Jimbo
Mama anaangalia potential
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je yeye Mama atashinda Urais?Jimbo
Mama anaangalia potential
Je yeye Mama atashinda Urais?
Huu ndio uchaguzi wa kweli, sio ule upuuzi wa dhalimu magu wa 2020. Naona ccm wameshindwa kupandikiza wale wapuuzi kama kwenye uchaguzi wa kumrejesha Lipumba madarakani huko CUF.Rushwa tupu
Kutapatapa Kwa Lisu na Msingwa hakujamsaidia.
Kiufupi wagombea wote wa Mbowe Wameshinda huku wale wa Lisu wakiangukia Pua .
Unaleta mchezo na Nguvu ya pesa 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C7j3JPVC4kt/?igsh=NWs5MmZmc3lpcm1j
ndezi kweli, wajumbe 106 ndio Uchaguzi? 🤣Nguvu ya pesa kwa tofauti hiyo ya kura? Huo ndio uchaguzi Sasa, sio ule upuuzi wenu wa huko ccm eti mtu anapata kura 100% bila hata kura Moja ya hapana Wala kuharibika, na unakuta mijitu mizima inajichekeshachekesha eti ushindi wa kishindo.
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa MamaSamia2025
Utoe rushwa kisha umshinde mtu kwa kura mbili? Unajua nguvu ya rushwa kweli ww? Naona mlitarajia huo uchaguzi ufanane na ule uchafu unaoendelea ccm lakini mmekwama. Sasa mmebaki kuokoteza vistory vya kuwatoa stress.Sugu mtu wa vurugu ameshinda uchaguzi wakati katibu mkuu wa chama akitahadharisha uwepo wa harufu mbaya ya rushwa kwenye uchaguzi huu wana nyasa.
Ni muda muafaka sasa kuishukuru tena rushwa kutupa kiongozi.
Hongera mboye na huyu anaejiita bilionea aka sugu.
Pipooziiiiiiiii
Watu wajinga ndio hutazama wingi, watu waerevu hutazama ubora. Waafrika ni wengi/masikini, lakini tunazidiwa ubora na waisraeli wachache. Kama mko 888 kisha mtu anapata kura 100% huoni huko mmjaa mifugo na sio watu?ndezi kweli, wajumbe 106 ndio Uchaguzi? 🤣
mkoa mzima? huo nao ni Uchaguzi kweli?
mnashindwa hata na chama cha mpira wa miguu wilaya ya kisarawe kina wajumbe zaidi ya mia3🤣
jimboni pangu walikua wajumbe 888🐒
ubora wa mipesa sio, ilivyomwagwa 🤣Watu wajinga ndio hutazama wingi, watu waerevu hutazama ubora. Waafrika ni wengi/masikini, lakini tunazidiwa ubora na waisraeli wachache.
Nani katumia pesa?ubora wa mipesa sio, ilivyomwagwa 🤣
msigwa kafedheheka sana kwakweli, athari za kubeti zimeanza kumuandama, bado heche 🐒
wajumbe wameondoka na mipesa ya kutosha aise,Nani katumia pesa?
Weka ushahidiwajumbe wameondoka na mipesa ya kutosha aise,
team mwamba wa kaskazini mmemwaga pesa sana dah, wajumbe wamekunywa gambe haijawahi kutokea na bado wameondoka home na mlungula wa hatari 🐒
Rushwa tupu kwenye chaguzi zao.
Makamu mwenyekiti Taifa na mgombea ambae kura haikutosha wanao, check nao tu 🐒Weka ushahidi
.Je yeye Mama atashinda Urais?
Hawa vijana wajinga wa mbogamboga hawalijui jambo hili