Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Sijawahi kufanya hivyo kwa kipindi cha miaka 10 iliyopitaUmepoteza kujiamini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kufanya hivyo kwa kipindi cha miaka 10 iliyopitaUmepoteza kujiamini!
Wasi wasi wangu ni kwa nini wanaccm wamemshabikia saaana Sugu. Ukiona adui yako anakusifia ujue huko kwenye msatari sahihi.Sugu wala hata hamjui huyo Abdul
Kutapatapa Kwa Lisu na Msingwa hakujamsaidia.
Kiufupi wagombea wote wa Mbowe Wameshindwa huku wale wa Lisu wakiangukia Pua .
Unaleta mchezo na Nguvu ya pesa 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C7j3JPVC4kt/?igsh=NWs5MmZmc3lpcm1j
Ni mwanaccm yupi anayemshabikia Sugu?Wasi wasi wangu ni kwa nini wanaccm wamemshabikia saaana Sugu. Ukiona adui yako anakusifia ujue huko kwenye msatari sahihi.
Ulitaka wawahi wapi?Wapiga kura 109 ndio mnachelewa hivyo? 🐼😂🔥
Pitia nyuzi zote zinazohusu huu uchaguzi utapata jibu.Ni mwanaccm yupi anayemshabikia Sugu?
Kutapatapa Kwa Lisu na Msingwa hakujamsaidia.
Kiufupi wagombea wote wa Mbowe Wameshindwa huku wale wa Lisu wakiangukia Pua .
Unaleta mchezo na Nguvu ya pesa 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C7j3JPVC4kt/?igsh=NWs5MmZmc3lpcm1j
🔨🔨😂😂😂👇👇 Punguzeni njaa mtakuja kuuana.Hizo Timu mnazitunga nyie
Ni kweli kama mliweza kupiga deki bara bara haki yako!Sijawahi kufanya hivyo kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita
Hao wachumia tumbo hawajawahi kuwa wanaccmPitia nyuzi zote zinazohusu huu uchaguzi utapata jibu.
🔨🔨😂😂😂👇👇 Punguzeni njaa mtakuja kuuana.
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1795783381004816488?t=iJMNx3Qoi0spSmbbVrPmPQ&s=19
Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu
Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona
View attachment 3003066View attachment 3003070View attachment 3003091View attachment 3003095
Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
======
Matokeo kamili haya hapa
View attachment 3003125View attachment 3003126
Wapi walipomtaja Sugu kutoa rushwa?Sugu mtu wa vurugu ameshinda uchaguzi wakati katibu mkuu wa chama akitahadharisha uwepo wa harufu mbaya ya rushwa kwenye uchaguzi huu wana nyasa.
Ni muda muafaka sasa kuishukuru tena rushwa kutupa kiongozi.
Hongera mboye na huyu anaejiita bilionea aka sugu.
Pipooziiiiiiiii
Siyo kila mtanzania banaBado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu
Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona
View attachment 3003066View attachment 3003070View attachment 3003091View attachment 3003095
Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
======
Matokeo kamili haya hapa
View attachment 3003125View attachment 3003126
Sugu mama anamtaka bungeni 2025 hata siku ya mei mos sugu likaa viti vya mbele kabisa.
Usiondoke JFTukio litikise nchi halafu hadi muda huu uzi uwe na page 2 tu za comments! We bilionea unakuza sana mambo
..kwa hiyo Mama hamtaki Dr.Tulia tena, anamtaka Sugu?
..kwa hiyo Mama hamtaki Dr.Tulia tena, anamtaka Sugu?