Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbowe akitaka lake hakuna kushindwa kreti 4 za chimpuni chaliiiii analeta maneno na ngonjera!Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu
Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona
View attachment 3003066View attachment 3003070View attachment 3003091View attachment 3003095
Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
Sugu akitoboa , itakuwa safi Sana.
UsilieMbowe akitaka lake hakuna kushindwa kreti 4 za chimpuni chaliiiii analeta maneno na ngonjera!
Sugu wala hata hamjui huyo AbdulHela ya Abdul na mama yake ndiyo imeongeza msisimko. Si unaona wanaccm wengi humu wanamshabikia Sugu ambaye ni swahiba wa Abdul. Ni matamanio ya wanaccm kuona mtu wao anachaguliwa ndani ya Chadema.
Nilie nini nawe unamcheka lissu kreti za chimpumu na lift ya makambako zimelipa!Usilie
Endeleeni kutunga uongoNilie nini nawe unamcheka lissu kreti za chimpumu na lift ya makambako zimelipa!
Maneno ya msigwa!Endeleeni kutunga uongo
Tupe nakala yakeManeno ya msigwa!
Rushwa tupuBado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu
Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona
View attachment 3003066View attachment 3003070View attachment 3003091View attachment 3003095
Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
======
Matokeo kamili haya hapa
View attachment 3003125View attachment 3003126
Kutapatapa Kwa Lisu na Msingwa hakujamsaidia.Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu
Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona
View attachment 3003066View attachment 3003070View attachment 3003091View attachment 3003095
Kama unataka matokeo ya Uchaguzi huu kabambe ambao kule Kenya wanauelezea kufanana na ule wa Urais Kati ya William Ruto na Raila Odinga, basi Usiondoke JF, Kila kitu utakipata hapa.
======
Matokeo kamili haya hapa
View attachment 3003125View attachment 3003126
Umepoteza kujiamini!Tupe nakala yake
Tunakushukuru kwa kukesha kusubiri matokeoRushwa tupu