Pre GE2025 Uchaguzi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa watikisa, Matokeo yasubiriwa kwa hamu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sugu mtu wa vurugu ameshinda uchaguzi wakati katibu mkuu wa chama akitahadharisha uwepo wa harufu mbaya ya rushwa kwenye uchaguzi huu wana nyasa.

Ni muda muafaka sasa kuishukuru tena rushwa kutupa kiongozi.

Hongera mboye na huyu anaejiita bilionea aka sugu.

Pipooziiiiiiiii
 
Wapi walipomtaja Sugu kutoa rushwa?
 
Tukio litikise nchi halafu hadi muda huu uzi uwe na page 2 tu za comments! We bilionea unakuza sana mambo
 
Siyo kila mtanzania bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…