Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia Lisu ni mbeligiji atavuruga chama kisha ataondoka.Safari hii Lisu akienda Ubeligiji harudi tenaMwambie Mbowe muda umemkataa. Hakuna mtu aliyeshindana na nyakati akashinda
Nyie wote ni vibarua wa watu, mnaotumiwa kutukana wengine.Naambiwa muda huu yuko hoi tumbo limemvuruga na sukari imepanda sana.
Wewe ni mwana CHADEMA?Narudia Lisu ni mbeligiji atavuruga chama kisha ataondoka.Safari hii Lisu akienda Ubeligiji harudi tena
Hata anayekutumia atakuwa anakudharau sana. Ameajiri chawa mjing.a mning.a.Na baadhi ya chadema wanavyoisarambatisha taasisi yao
Sina njaa kama weweHata anayekutumia atakuwa anakudharau sana. Ameajiri chawa mjing.a mning.a.
Walikuja kwa kishindo, walitishia kila mtu aliopo mbele yao.
Waliaminisha kwamba CHADEMA kuanzia BAVICHA, BAZECHA NA BAWACHA Zimejaa rushwa.
Walituaminisha uchaguzi wa mabaraza utakuwa wa wizi mkubwa wa kura na utatawala vurugu na rushwa kila kona.
Lakini tulichokishuhudia uchaguzi ni wazi, utulivu na Hakuna rushwa.
Uchaguzi kuendeshwa kwa uwazi hili limewashtua sana team Lissu na hawakutegemea uchaguzi utakuwa hivi. Kilichobaki kuokota takwimu za ushindi ambao hauna uhalisia.
21/12025 siku ambayo team lissu watashundwa kuamini macho yao.
Ushauri: Mwenyekiti wa BAVICHA uache mihemko ya kisiasa, bado mchanga sana kisiasa . Tulia Mbowe akulee baadae uwe kama akina Lissu na Heche. Muda wako bado