Msongo wa mawazo itakuwa hii wala sii kingineWewe ni mgonjwa wa kitu gani?
Muulize Babu Duni mgombea mwenza wa Lowassa 🐼Wewe ni mgonjwa wa kitu gani?
kama nakuona huna raha mumeo anapigwa chini uenyekiti lissu hakutaki sijui utaishi vipi bila mbowe jamani shida unayoTunakushukuru kwa ufafanuzi huu
Msongo anao Mwamba mmiliki wa Chadema 🐼Msongo wa mawazo itakuwa hii wala sii kingine
Matusi na Uchawi ndio nguzo kuu ya Masikinikama nakuona huna raha mumeo anapigwa chini uenyekiti lissu hakutaki sijui utaishi vipi bila mbowe jamani shida unayo
Lisu atapata kura 2 tuHuu uchaguzi unaweza kuleta maajabu ambayo haujawahi kutokea
ooh Mungu wangu.Ahsante 🐼
Kwa kuwa nduguzo wanamzonga sio?Msongo anao Mwamba mmiliki wa Chadema 🐼
Istagrade kuna nini tena huko?ooh Mungu wangu.
Kumbe chadema imekufa sisi hatujui.
View: https://www.instagram.com/reel/DEe1Ot-NQbP/?igsh=MWx2OTZieXpmNncyMw==
Huu uchaguzi unaweza kuleta maajabu ambayo haujawahi kutokea
kwani wale wadada wako mule Bungeni kwa tiketi ya chama gani. Sheria siku hizi zinaruhusu wabunge wa vitu maalumu wasio na vyama?Andiko limeeleza Wajumbe wa Mkutano huo, Chadema haina Mbunge wa viti maalum anayetokana na Chama hicho
Majibu anayo Ndugaikwani wale wadada wako mule Bungeni kwa tiketi ya chama gani. Sheria siku hizi zinaruhusu wabunge wa vitu maalumu wasio na vyama?
nchi ngumu sana hii!
YESU NI BWANA&MWOKOZI
Rushwa kutoka kwa Abdul itafeli vibayaMpaka hapo naona kabisa Mmachame akienda kushinda uenyekiti.
kina mdee, bulaya, matiko na wenzao ni kina nani wale walioko bungeni?Andiko limeeleza Wajumbe wa Mkutano huo, Chadema haina Mbunge wa viti maalum anayetokana na Chama hicho
Sema wewekina mdee, bulaya, matiko na wenzao ni kina nani wale walioko bungeni?
mnawakataa wanachama wenu wanaotambuliwa na bunge?Sema wewe