Uchaguzi wa CHADEMA umethibitisha utafti wangu kwamba binadamu ni kipofu ingawa ana macho

Uchaguzi wa CHADEMA umethibitisha utafti wangu kwamba binadamu ni kipofu ingawa ana macho

Samico Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
486
Reaction score
1,237
Mimi siyo mwanasiasa!

Kwa wale wasionijua niwafahamishe tu mimi ni Fundi umeme na ujenzi natambulika popote kama chata la fundi SAMICO!
Uchaguzi wa CHADEMA umenifanya nimtafakari sana binadamu!

Ndipo nikakumbuka moja utafti wangu nilioufanya kipindi niko nachunga ng'ombe huko Hanang.

Nakumbuka nilikuwa naenda kuchunga nikiwa na karamu na daftali ili niandike taarifa zozote ikiwemo dawa na chochote nitakachojifunza porini. Iko hivi.

Binadamu au mnyama anapozaliwa ingawa ana macho ya gorori lakini huwa haoni hadi pale anapokariri mazingira baada ya muda.

Vivyo hivyo ukimchukua binadamu huyu mkubwa ghafla ukamtosa kwenye shimo lenye giza nene huwa kama mtoto mchanga aliyezaliwa huwa haoni hadi pale mazingira yatapomtambulisha upya!

Vivyo hivyo akikaa huko kwenye giza ukija kumtoa kwenye mwanga huwa haoni hadi pale mazingira yampokee tena!

Yaani kiufupi binadamu ni kipofu anapotaka kuingia kwenye mazingira mapya na pengine anaweza kukimbia akiamini hataona!

Ugunduzi wa taa (mwanga) ni jambo la kisaikolojia linalomfanya kiumbe mwanadam asiwe kipofu anapoingia kwenye giza ili mazingira yasikaribishe!
Kwa maana hiyo macho yapo kwenye fikra siyo usoni!
Na ndiyo maana umeme ukikatika usiku unapokuja kurudi utasikia mtaani Huoooooooooooo! (Hili ni jambo la kifikra)
Umeme unapokatika taarifa inafika kwenye fikra, na fikra huzalisha hasira,mawazo, joto n.k hata kama mtu chumbani hana feni atakwambia anasubiri Tanesco warudishe mwanga (fikra).

Kwa sayansi hiyo hiyo ndiyo maana usiku binadamu analala ili upofu wake usiyazoee mazingira akashindwa kutembea kesho yake mchana!

Binadamu asili yake ni kipofu lakini mazingira ndiyo huamua muda wa kuona.
Sote tunaweza kuonekana tunatazama lakini hatuoni!

Nitawapa mfano wa kiufundi!

Hivi haujawahi kuharibikiwa na kitu, chombo cha moto, wayaringi n.k na kila fundi akafungua pale pale na asione tatizo!
Lakini fundi mwingine akija mara moja tu anaona shida wakati wengine wote wamefungua hapohapo?

Kinachowafanya CHADEMA watifuane ni kwasababu wamekariri mazingira ya mchana yawasaidie kuona gizani! sasa wapo gizani hawataki kuruhusu mazingira waliopo yawatambulishe ili waweze kuona usiku bila tochi!
 
Ila siamini kama wee jamaa hujasoma! La sivyo Mungu kakupa kipaji kikubwa ulichunga ng'ombe huku ukiwa na diary duh!
 
Hii ni falsafa ya hali ya juu sana umeandika Mkuu, sidhani kama hata wewe mwenyewe unajua umeandika kitu cha akili kubwa kiasi gani.
 
Na vipofu wasioona kwenye mwanga wala giza wao nao ni vipofu kuliko vipofu(binadamu wote) wanaohitaji mazingira ili waone.
Mimi siyo mwanasiasa!

Kwa wale wasionijua niwafahamishe tu mimi ni Fundi umeme na ujenzi natambulika popote kama chata la fundi SAMICO!
Uchaguzi wa CHADEMA umenifanya nimtafakari sana binadamu!

Ndipo nikakumbuka moja utafti wangu nilioufanya kipindi niko nachunga ng'ombe huko Hanang.

Nakumbuka nilikuwa naenda kuchunga nikiwa na karamu na daftali ili niandike taarifa zozote ikiwemo dawa na chochote nitakachojifunza porini. Iko hivi.

Binadamu au mnyama anapozaliwa ingawa ana macho ya gorori lakini huwa haoni hadi pale anapokariri mazingira baada ya muda.

Vivyo hivyo ukimchukua binadamu huyu mkubwa ghafla ukamtosa kwenye shimo lenye giza nene huwa kama mtoto mchanga aliyezaliwa huwa haoni hadi pale mazingira yatapomtambulisha upya!

Vivyo hivyo akikaa huko kwenye giza ukija kumtoa kwenye mwanga huwa haoni hadi pale mazingira yampokee tena!

Yaani kiufupi binadamu ni kipofu anapotaka kuingia kwenye mazingira mapya na pengine anaweza kukimbia akiamini hataona!

Ugunduzi wa taa (mwanga) ni jambo la kisaikolojia linalomfanya kiumbe mwanadam asiwe kipofu anapoingia kwenye giza ili mazingira yasikaribishe!
Kwa maana hiyo macho yapo kwenye fikra siyo usoni!
Na ndiyo maana umeme ukikatika usiku unapokuja kurudi utasikia mtaani Huoooooooooooo! (Hili ni jambo la kifikra)
Umeme unapokatika taarifa inafika kwenye fikra, na fikra huzalisha hasira,mawazo, joto n.k hata kama mtu chumbani hana feni atakwambia anasubiri Tanesco warudishe mwanga (fikra).

Kwa sayansi hiyo hiyo ndiyo maana usiku binadamu analala ili upofu wake usiyazoee mazingira akashindwa kutembea kesho yake mchana!

Binadamu asili yake ni kipofu lakini mazingira ndiyo huamua muda wa kuona.
Sote tunaweza kuonekana tunatazama lakini hatuoni!

Nitawapa mfano wa kiufundi!

Hivi haujawahi kuharibikiwa na kitu, chombo cha moto, wayaringi n.k na kila fundi akafungua pale pale na asione tatizo!
Lakini fundi mwingine akija mara moja tu anaona shida wakati wengine wote wamefungua hapohapo?

Kinachowafanya CHADEMA watifuane ni kwasababu wamekariri mazingira ya mchana yawasaidie kuona gizani! sasa wapo gizani hawataki kuruhusu mazingira waliopo yawatambulishe ili waweze kuona usiku bila tochi!
 
Tatizo la Chadema ni ukosefu wa Demokrasia,kitu walichokihubiri miaka yote ndicho kinawashinda sasa hivi.

Wasema ukweli wanaonekana hawakitakii mema chama.

Wengine wanajua kabisa nini kifanyike lakini wakiangalia matumbo yao wanaufyata,nyeupe wanaifanya nyeusi makusudi.

Wapo pia wanaofuata upepo tu kama ilivyo kawaida kusimama upande wenye nguvu
 
Na vipofu wasioona kwenye mwanga wala giza wao nao ni vipofu kuliko vipofu(binadamu wote) wanaohitaji mazingira ili waone.
Kipofu ni neno la kumtweza binadamu asijue uwezo wake!
Kila binadamu mwenye fikra anaouwezo wa kuona akiruhusu mazingira alipo yamtambulishe!

Hayo macho ya usoni ni kama chaneli tu lakini macho halisi yapo kwenye fikra! Na fikra huhitaji kutambulishwa na mazingira ili iweze kuona!

Mnaweza mkawa barabarani wote mnaangalia wapita njia lakini kati yenu mmoja akawa anaaangalia fasheni za nguo na mwingine akawa anaangalia makalio lakini wote mnatazama sehem moja!

Macho yapo kwenye fikra
 
Pi
Mimi siyo mwanasiasa!

Kwa wale wasionijua niwafahamishe tu mimi ni Fundi umeme na ujenzi natambulika popote kama chata la fundi SAMICO!
Uchaguzi wa CHADEMA umenifanya nimtafakari sana binadamu!

Ndipo nikakumbuka moja utafti wangu nilioufanya kipindi niko nachunga ng'ombe huko Hanang.

Nakumbuka nilikuwa naenda kuchunga nikiwa na karamu na daftali ili niandike taarifa zozote ikiwemo dawa na chochote nitakachojifunza porini. Iko hivi.

Binadamu au mnyama anapozaliwa ingawa ana macho ya gorori lakini huwa haoni hadi pale anapokariri mazingira baada ya muda.

Vivyo hivyo ukimchukua binadamu huyu mkubwa ghafla ukamtosa kwenye shimo lenye giza nene huwa kama mtoto mchanga aliyezaliwa huwa haoni hadi pale mazingira yatapomtambulisha upya!

Vivyo hivyo akikaa huko kwenye giza ukija kumtoa kwenye mwanga huwa haoni hadi pale mazingira yampokee tena!

Yaani kiufupi binadamu ni kipofu anapotaka kuingia kwenye mazingira mapya na pengine anaweza kukimbia akiamini hataona!

Ugunduzi wa taa (mwanga) ni jambo la kisaikolojia linalomfanya kiumbe mwanadam asiwe kipofu anapoingia kwenye giza ili mazingira yasikaribishe!
Kwa maana hiyo macho yapo kwenye fikra siyo usoni!
Na ndiyo maana umeme ukikatika usiku unapokuja kurudi utasikia mtaani Huoooooooooooo! (Hili ni jambo la kifikra)
Umeme unapokatika taarifa inafika kwenye fikra, na fikra huzalisha hasira,mawazo, joto n.k hata kama mtu chumbani hana feni atakwambia anasubiri Tanesco warudishe mwanga (fikra).

Kwa sayansi hiyo hiyo ndiyo maana usiku binadamu analala ili upofu wake usiyazoee mazingira akashindwa kutembea kesho yake mchana!

Binadamu asili yake ni kipofu lakini mazingira ndiyo huamua muda wa kuona.
Sote tunaweza kuonekana tunatazama lakini hatuoni!

Nitawapa mfano wa kiufundi!

Hivi haujawahi kuharibikiwa na kitu, chombo cha moto, wayaringi n.k na kila fundi akafungua pale pale na asione tatizo!
Lakini fundi mwingine akija mara moja tu anaona shida wakati wengine wote wamefungua hapohapo?

Kinachowafanya CHADEMA watifuane ni kwasababu wamekariri mazingira ya mchana yawasaidie kuona gizani! sasa wapo gizani hawataki kuruhusu mazingira waliopo yawatambulishe ili waweze kuona usiku bila tochi!
Piga ua Mbowe usiachie chama kizembe ambacho baba mkwe wako alikuachia,.......chama kimepool billions of money kwa wanafamilia,Leo from no where uje uwaachie wakuja tu?,.......yaani kirahisi TU!
 
Kipofu ni neno la kumtweza binadamu asijue uwezo wake!
Kila binadamu mwenye fikra anaouwezo wa kuona akiruhusu mazingira alipo yamtambulishe!

Hayo macho ya usoni ni kama chaneli tu lakini macho halisi yapo kwenye fikra! Na fikra huhitaji kutambulishwa na mazingira ili iweze kuona!

Mnaweza mkawa barabarani wote mnaangalia wapita njia lakini kati yenu mmoja akawa anaaangalia fasheni za nguo na mwingine akawa anaangalia makalio lakini wote mnatazama sehem moja!

Macho yapo kwenye fikra
Unachosema hapa ni kwamba hakuna tatizo la upofu duniani kila mtu anaona ila tatizo ni fikra. Na sense nyingine kama harufu nk?
 
The Akili Kubwaaaz (kwa sauti ya Comrade Lemutuz (RIP).

Ni kweli kabisa, ndipo wahenga wakahitimisha hoja yako kwa methali maarufu 'toa boriti kwenye jicho lako kabla ya kibanzi kwenye la mwenzako'.

Hii inadhihirsha kuwa kama kweli binadamu angekuwa anaona basi angejiona yeye kwanza kabla hajaakisi mazingira ya mbeleni mwake.

Thumb up!.
 
Unachosema hapa ni kwamba hakuna tatizo la upofu duniani kila mtu anaona ila tatizo ni fikra. Na sense nyingine kama harufu nk?
Yes! Wengi wanaaamini wakikodoa ndo kuona kumbe macho yapo ndani kabisa huko kwenye fikra hapo usoni ni exist hole tu!

Na fikra ndiyo huamua cha kuona
 
Pi

Piga ua Mbowe usiachie chama kizembe ambacho baba mkwe wako alikuachia,.......chama kimepool billions of money kwa wanafamilia,Leo from no where uje uwaachie wakuja tu?,.......yaani kirahisi TU!
Kuna Mtu mmoja alitobolewa macho! Wakati huo katika maisha yake mnyama.mkubwa kabisa katika maisha yake aliyekuwa kawahi kuona alikuwa ni PANYA!
Sasa basi wakati akikuwa kipimo chake cha ukubwa ilikuwa ni PANYA!

Siku moja akasikia watoto wanapiga kelele Tembo mkubwa huyo anapita ......yeye akaitikia akauliza NI MKUBWA KAMA PANYA?
 
Yes! Wengi wanaaamini wakikodoa ndo kuona kumbe macho yapo ndani kabisa huko kwenye fikra hapo usoni ni exist hole tu!

Na fikra ndiyo huamua cha kuona
Ok, mtaalam. Kuna mtu ana shida ya macho, anahitaji vitrectomy surgery sababu amepata small damage kwenye macula, ngoja niwafowadie uzi wako waachane na macho wakachane ubongo.
 
Mimi siyo mwanasiasa!

Kwa wale wasionijua niwafahamishe tu mimi ni Fundi umeme na ujenzi natambulika popote kama chata la fundi SAMICO!
Uchaguzi wa CHADEMA umenifanya nimtafakari sana binadamu!

Ndipo nikakumbuka moja utafti wangu nilioufanya kipindi niko nachunga ng'ombe huko Hanang.

Nakumbuka nilikuwa naenda kuchunga nikiwa na karamu na daftali ili niandike taarifa zozote ikiwemo dawa na chochote nitakachojifunza porini. Iko hivi.

Binadamu au mnyama anapozaliwa ingawa ana macho ya gorori lakini huwa haoni hadi pale anapokariri mazingira baada ya muda.

Vivyo hivyo ukimchukua binadamu huyu mkubwa ghafla ukamtosa kwenye shimo lenye giza nene huwa kama mtoto mchanga aliyezaliwa huwa haoni hadi pale mazingira yatapomtambulisha upya!

Vivyo hivyo akikaa huko kwenye giza ukija kumtoa kwenye mwanga huwa haoni hadi pale mazingira yampokee tena!

Yaani kiufupi binadamu ni kipofu anapotaka kuingia kwenye mazingira mapya na pengine anaweza kukimbia akiamini hataona!

Ugunduzi wa taa (mwanga) ni jambo la kisaikolojia linalomfanya kiumbe mwanadam asiwe kipofu anapoingia kwenye giza ili mazingira yasikaribishe!
Kwa maana hiyo macho yapo kwenye fikra siyo usoni!
Na ndiyo maana umeme ukikatika usiku unapokuja kurudi utasikia mtaani Huoooooooooooo! (Hili ni jambo la kifikra)
Umeme unapokatika taarifa inafika kwenye fikra, na fikra huzalisha hasira,mawazo, joto n.k hata kama mtu chumbani hana feni atakwambia anasubiri Tanesco warudishe mwanga (fikra).

Kwa sayansi hiyo hiyo ndiyo maana usiku binadamu analala ili upofu wake usiyazoee mazingira akashindwa kutembea kesho yake mchana!

Binadamu asili yake ni kipofu lakini mazingira ndiyo huamua muda wa kuona.
Sote tunaweza kuonekana tunatazama lakini hatuoni!

Nitawapa mfano wa kiufundi!

Hivi haujawahi kuharibikiwa na kitu, chombo cha moto, wayaringi n.k na kila fundi akafungua pale pale na asione tatizo!
Lakini fundi mwingine akija mara moja tu anaona shida wakati wengine wote wamefungua hapohapo?

Kinachowafanya CHADEMA watifuane ni kwasababu wamekariri mazingira ya mchana yawasaidie kuona gizani! sasa wapo gizani hawataki kuruhusu mazingira waliopo yawatambulishe ili waweze kuona usiku bila tochi!
Mabadiliko kwa binaadamu ni lazima,na asipo badilika yeye,basi mazingira yatambadilisha bila kupenda!!
 
Kwa kweli bora kufanya mambo mengine, mambo ya chadema yanashangaza mpaka yanashangaza tena, mwanzo nilijua it's just a drama.
 
Umekimbusha Falsafa ya Plato
Kuhusu nadharia ya Pangoo.

Niliisoma katika Kitabu Dkt Mihanjo Kitabu Kunaitwa Falsafa na usanifu wa hoja.

Nakumbuka nilikuwa na muda mzuri wa kujadili Falsafa na Marehemu Padre Privatusi Karugendoo
 
Back
Top Bottom