Uchaguzi wa CHADEMA umethibitisha utafti wangu kwamba binadamu ni kipofu ingawa ana macho

C'mon!
Wewe sio mchunga ng'ombe, wewe Nina uhakika ni profesa kabisa.

Haiwezeiani mchunga ng'ombe aje na bandiko kama hili ambalo 99% ya wanachadema hawatolielewa na badala yake watakimbilia kumtusi kwa mihemko. Kama mnabisha subirini.

All in all (conclusion zetu za kizamani), bro uko njema sana upstairs!
 
Nimekuelewa vyema!…ila vile vile hawa vipofu wa fikra wana uoga mkubwa mno.!
 
Pi

Piga ua Mbowe usiachie chama kizembe ambacho baba mkwe wako alikuachia,.......chama kimepool billions of money kwa wanafamilia,Leo from no where uje uwaachie wakuja tu?,.......yaani kirahisi TU!
umeandika ki code sana
 
Pi

Piga ua Mbowe usiachie chama kizembe ambacho baba mkwe wako alikuachia,.......chama kimepool billions of money kwa wanafamilia,Leo from no where uje uwaachie wakuja tu?,.......yaani kirahisi TU!
Ndo nn
 
Naanza kuelewa taratibu mwanzo niliposoma sikuelewa kabisa mada yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…