Uchaguzi wa CHADEMA: Yakitokea haya itakuwaje? Mpasuko hauepukiki

Uchaguzi wa CHADEMA: Yakitokea haya itakuwaje? Mpasuko hauepukiki

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Si vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu hapa Tanzania. Pia, ni mfuasi wa hoja na mkosoaji wa maigizo na vihoja vya kisiasa.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribia kufanya uchaguzi mkuu wa kitaifa. Katika nafasi mbili za juu kabisa-Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti panaonekana patakuwa na mchuano mkali. kwenye nafasi ya Mwenyekiti ni mchuno kati ya Ndugu Freeman A. Mbowe na Wakili Msomi Tundu A.M. Lissu.

Kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti, ushindani mkubwa utakuwa kati ya Ezekiel Wenje na John Heche. Wote hawa wamewahi kuwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara. Faida aliyonayo Heche ni kukua na kukuzwa ndani ya CHADEMA. Alianzia BAVICHA na kuwa Mwenyekiti huko.

Ndani ya CHADEMA, kuna wanachama na viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kumuunga mkono Mbowe au Lissu kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Kuunga mkono au kutokuunga mkono ni haki ya kikatiba, kikanuni na kiutamaduni-haki ya kuwa na maoni huru. Lakini, mgombea kumuunga mkno mgombea mwingine tena kwa nafasi tofauti inatafakarisha.

Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.

Wagombea wa nafasi hizi kuu ndani ya CHADEMA, hakika, ni heavyweight wa CHADEMA. Kwa kauli zinazoendelea za baadhi ya wagombea kuhusu mchakato wa uchaguzi na matokeo yake, ni wazi kuwa mpasuko ndani ya CHADEMA hautaepukika. Utakuwa dhahiri au wa sirini. CHADEMA haitabaki kama ilivyo sasa!
 
Bora Heche aliyesema Waziwazi kua Anamuunga mkono Lissu, kukiko FAM anaemuunga Mkono Wenje Sirini

Mbowe Alimtuma Wenje Akamchalenge Lissu, Lissu Kamfata hukohuko Juu na Kamtuma Heche akamchalenge Wenje

Shida ya Mbowe ni Kujiona Master sana ndani ya Chama sasa kapigwa shambulizi la kustukiza Yupo Hoi
 
Si vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu hapa Tanzania. Pia, ni mfuasi wa hoja na mkosoaji wa maigizo na vihoja vya kisiasa.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribia kufanya uchaguzi mkuu wa kitaifa. Katika nafasi mbili za juu kabisa-Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti panaonekana patakuwa na mchuano mkali. kwenye nafasi ya Mwenyekiti ni mchuno kati ya Ndugu Freeman A. Mbowe na Wakili Msomi Tundu A.M. Lissu.

Kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti, ushindani mkubwa utakuwa kati ya Ezekiel Wenje na John Heche. Wote hawa wamewahi kuwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara. Faida aliyonayo Heche ni kukua na kukuzwa ndani ya CHADEMA. Alianzia BAVICHA na kuwa Mwenyekiti huko.

Ndani ya CHADEMA, kuna wanachama na viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kumuunga mkono Mbowe au Lissu kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Kuunga mkono au kutokuunga mkono ni haki ya kikatiba, kikanuni na kiutamaduni-haki ya kuwa na maoni huru. Lakini, mgombea kumuunga mkno mgombea mwingine tena kwa nafasi tofauti inatafakarisha.

Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.

Wagombea wa nafasi hizi kuu ndani ya CHADEMA, hakika, ni heavyweight wa CHADEMA. Kwa kauli zinazoendelea za baadhi ya wagombea kuhusu mchakato wa uchaguzi na matokeo yake, ni wazi kuwa mpasuko ndani ya CHADEMA hautaepukika. Utakuwa dhahiri au wa sirini. CHADEMA haitabaki kama ilivyo sasa!
ULIPOTEA SANA HAPA JF! NAONA HILI LIMEKUTOA PANGONI
 
Ukweli Heche na Wenje hawakutakiwa kuonyesha upande wowote maana akishinda wa upande huu na Makamu akashinda wa upande mwinge italeta chamgamoto kufanya kazi na mtu unaejua hakuwa anakuunga mkono
 
Si vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu hapa Tanzania. Pia, ni mfuasi wa hoja na mkosoaji wa maigizo na vihoja vya kisiasa.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribia kufanya uchaguzi mkuu wa kitaifa. Katika nafasi mbili za juu kabisa-Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti panaonekana patakuwa na mchuano mkali. kwenye nafasi ya Mwenyekiti ni mchuno kati ya Ndugu Freeman A. Mbowe na Wakili Msomi Tundu A.M. Lissu.

Kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti, ushindani mkubwa utakuwa kati ya Ezekiel Wenje na John Heche. Wote hawa wamewahi kuwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara. Faida aliyonayo Heche ni kukua na kukuzwa ndani ya CHADEMA. Alianzia BAVICHA na kuwa Mwenyekiti huko.

Ndani ya CHADEMA, kuna wanachama na viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kumuunga mkono Mbowe au Lissu kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Kuunga mkono au kutokuunga mkono ni haki ya kikatiba, kikanuni na kiutamaduni-haki ya kuwa na maoni huru. Lakini, mgombea kumuunga mkno mgombea mwingine tena kwa nafasi tofauti inatafakarisha.

Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.

Wagombea wa nafasi hizi kuu ndani ya CHADEMA, hakika, ni heavyweight wa CHADEMA. Kwa kauli zinazoendelea za baadhi ya wagombea kuhusu mchakato wa uchaguzi na matokeo yake, ni wazi kuwa mpasuko ndani ya CHADEMA hautaepukika. Utakuwa dhahiri au wa sirini. CHADEMA haitabaki kama ilivyo sasa!
Naomba kuuliza; nasikia Uwenyekiti na Umakamu Mwenyekiti kwa Chadema ni "pekeji". Kwamba wanagombea kwa "pair" akishinda Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti anayegombea naye nae anakuwa ameshinda. Ndio maana Heche amemuunga mkono Lissu ili wawe "pair". Ila sijawahi kusikia Wenje akisema anagombea kumuunga mkono Mbowe.
 
Naomba kuuliza; nasikia Uwenyekiti na Umakamu Mwenyekiti kwa Chadema ni "pekeji". Kwamba wanagombea kwa "pair" akishinda Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti anayegombea naye nae anakuwa ameshinda. Ndio maana Heche amemuunga mkono Lissu ili wawe "pair". Ila sijawahi kusikia Wenje akisema anagombea kumuunga mkono Mbowe.
Hizo ni nafasi zinzojitegemea Mkuu. Haziendi pamoja
 
Chadema ni TAASISI KUBWA nje ya Chadema wewe ni karatasi tu .....Tuna HAZINA nyingi tu hao waliopo juu wanaonekana kwa sababu NAFASI ZAO....wakiondoka Replacement ipo YAKUTOSHA
 
Heche haweZi kumshinda uchaguzi huu kitendo Cha kujitenga na MBOWE ambaye atamshinda uchaguzi huu kimemuondolea capacity ya kushindwa japo ametangaZo kumuheshimu na kukubali kazi nzuri iliyofanywa na MBOWE kwamtazamo wangu angeishia hapo bila kuonesha upande wake angewapa wakati mgumu wajumbe kuamua kt yake na mshindani wake apwamchague nani
 
Ili Chadema ife ni lazima Mbowe awe Mwenyekit
Na ndiyo maana Abdul amewekeza sana kwenye uchaguzi huu ili kumsaidia bimkubwa wake apate ahueni mwezi October, hata ile 250m anayosema Wenje imetoka mfukoni kwa Mbowe ni uwekezaji wa Abdul na Mama yake. Lakini kama Mungu aishivuo mpango huu haramu hautafanikiwa kwani Chadema na Lissu ni mpango wa Mungu.
 
Si vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu hapa Tanzania. Pia, ni mfuasi wa hoja na mkosoaji wa maigizo na vihoja vya kisiasa.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribia kufanya uchaguzi mkuu wa kitaifa. Katika nafasi mbili za juu kabisa-Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti panaonekana patakuwa na mchuano mkali. kwenye nafasi ya Mwenyekiti ni mchuno kati ya Ndugu Freeman A. Mbowe na Wakili Msomi Tundu A.M. Lissu.

Kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti, ushindani mkubwa utakuwa kati ya Ezekiel Wenje na John Heche. Wote hawa wamewahi kuwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara. Faida aliyonayo Heche ni kukua na kukuzwa ndani ya CHADEMA. Alianzia BAVICHA na kuwa Mwenyekiti huko.

Ndani ya CHADEMA, kuna wanachama na viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kumuunga mkono Mbowe au Lissu kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Kuunga mkono au kutokuunga mkono ni haki ya kikatiba, kikanuni na kiutamaduni-haki ya kuwa na maoni huru. Lakini, mgombea kumuunga mkno mgombea mwingine tena kwa nafasi tofauti inatafakarisha.

Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.

Wagombea wa nafasi hizi kuu ndani ya CHADEMA, hakika, ni heavyweight wa CHADEMA. Kwa kauli zinazoendelea za baadhi ya wagombea kuhusu mchakato wa uchaguzi na matokeo yake, ni wazi kuwa mpasuko ndani ya CHADEMA hautaepukika. Utakuwa dhahiri au wa sirini. CHADEMA haitabaki kama ilivyo sasa!
"Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara"- Wenje ni Mjaruo wa Tarime aliyehamia Mwanza, Heche ni Wa Tarime pia- mmoja ni wa Rorya na mwingine huko Tarime kwa Waitala- wote ni kutoka Tarime na Tarime ndio itakayotoa makamu mwenyekiti.
 
Si vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu hapa Tanzania. Pia, ni mfuasi wa hoja na mkosoaji wa maigizo na vihoja vya kisiasa.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribia kufanya uchaguzi mkuu wa kitaifa. Katika nafasi mbili za juu kabisa-Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti panaonekana patakuwa na mchuano mkali. kwenye nafasi ya Mwenyekiti ni mchuno kati ya Ndugu Freeman A. Mbowe na Wakili Msomi Tundu A.M. Lissu.

Kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti, ushindani mkubwa utakuwa kati ya Ezekiel Wenje na John Heche. Wote hawa wamewahi kuwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara. Faida aliyonayo Heche ni kukua na kukuzwa ndani ya CHADEMA. Alianzia BAVICHA na kuwa Mwenyekiti huko.

Ndani ya CHADEMA, kuna wanachama na viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kumuunga mkono Mbowe au Lissu kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Kuunga mkono au kutokuunga mkono ni haki ya kikatiba, kikanuni na kiutamaduni-haki ya kuwa na maoni huru. Lakini, mgombea kumuunga mkno mgombea mwingine tena kwa nafasi tofauti inatafakarisha.

Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.

Wagombea wa nafasi hizi kuu ndani ya CHADEMA, hakika, ni heavyweight wa CHADEMA. Kwa kauli zinazoendelea za baadhi ya wagombea kuhusu mchakato wa uchaguzi na matokeo yake, ni wazi kuwa mpasuko ndani ya CHADEMA hautaepukika. Utakuwa dhahiri au wa sirini. CHADEMA haitabaki kama ilivyo sasa!
Kwanza wewe ni chama gani?
 
Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.
Vyvyote vile itakavyokuwa, CHADEMA Itatoka salama kabisa, niamini. Mipasuko haitakuepo ila kutofautyiana kwa fikra na mitazamo ni kawaida
 
Si vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu hapa Tanzania. Pia, ni mfuasi wa hoja na mkosoaji wa maigizo na vihoja vya kisiasa.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribia kufanya uchaguzi mkuu wa kitaifa. Katika nafasi mbili za juu kabisa-Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti panaonekana patakuwa na mchuano mkali. kwenye nafasi ya Mwenyekiti ni mchuno kati ya Ndugu Freeman A. Mbowe na Wakili Msomi Tundu A.M. Lissu.

Kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti, ushindani mkubwa utakuwa kati ya Ezekiel Wenje na John Heche. Wote hawa wamewahi kuwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara. Faida aliyonayo Heche ni kukua na kukuzwa ndani ya CHADEMA. Alianzia BAVICHA na kuwa Mwenyekiti huko.

Ndani ya CHADEMA, kuna wanachama na viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kumuunga mkono Mbowe au Lissu kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Kuunga mkono au kutokuunga mkono ni haki ya kikatiba, kikanuni na kiutamaduni-haki ya kuwa na maoni huru. Lakini, mgombea kumuunga mkno mgombea mwingine tena kwa nafasi tofauti inatafakarisha.

Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.

Wagombea wa nafasi hizi kuu ndani ya CHADEMA, hakika, ni heavyweight wa CHADEMA. Kwa kauli zinazoendelea za baadhi ya wagombea kuhusu mchakato wa uchaguzi na matokeo yake, ni wazi kuwa mpasuko ndani ya CHADEMA hautaepukika. Utakuwa dhahiri au wa sirini. CHADEMA haitabaki kama ilivyo sasa!
Sawa tumekusikia lakini Mbowe asipende sana kumuiga Professor Ibrahimu Lipumba wa CUF.
 
Back
Top Bottom