Msimamia Ukucha
Senior Member
- Feb 11, 2013
- 146
- 42
uchaguzi mkuu wa chuo kikuu ardhi umezidi kushika kasi kwa mgombea makini mweshimiwa SABINI (MGOMBEA URAIS) kuendeleza kampeni na kuonekana kukubalika sana katika school zote za chuoni. Na pia katika kula za maoni za kupata wagombea ameonekana kuwaacha wenzake kwa kura nyingi sana na pia kuonekana kukubalika katikati ya viongozi wenzake!!! "CHAGUA SABINI KWA MAENDELEO YA CHUO KIKUU ARDHI."