....Hoja yangu ni kwamba wananchi wana wajibu pia wa kuhakikisha sheria zilizowekwa, hasa katiba, inafuatwa kwa sababu ni vigumu sana kuwapata viongozi wenye uwezo, nia thabiti, wapenda haki na usawa, wasio mafisadi etc all the time. Sasa the only way ni wananchi nao kushiriki kikamilifu kuhakikisha sheria zilizopo zinafuatwa na si kuwaachia viongozi eti watatenda miujiza. Wenzetu Kenya, pamoja na changamoto kibao wanazozipitia wanajitahidi; na kwa suala la Libya ni kweli but je kama asingeuwawa kuna uhakika gani kama mrithi wake naye angefanya wonders? Ndiyo maana baadhi yao (like Mugabe,Museni Kagame etc) wamejijengea mentality kwamba they are the only one who can rule....