KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,518
Kinachonishangaza ni hesabu ya waliopiga kura. Bwana Chebukati anasema ni 48% na idadi yao ni 6.5 millioni. Ila waliojiandikisha ni 19 millioni. Hebu tujiulize, hivi 6.5 millioni ni 48% ya 19 millioni? Jibu ni hapana! 6.5 millioni ni 34.2% ya 19 millioni. Yaani huyu Bwana ameanza kupika matokeo asubuhi na mapemaKilichofanyika leo ni bora uchaguzi na si uchaguzi bora kama ilivyokuwa ikitazamiwa na wengi.
Leo ulikuwa ni uchaguzi wa bora liende.
@ mwaswast
Only a third of Kenyans voted in the repeat presidential election
Low Voter Turnout, Violence Mar Chaotic Kenya Election Rerun