Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya leo matatizo Ni prana. Raila amechoshwa sana na kampeni

Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya leo matatizo Ni prana. Raila amechoshwa sana na kampeni

Kenya 2022 General Election

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Prana ni neno la Kihindi,maana yake 'pumzi'. Raila amefanya kampeni kwa bidii na anechoka sana. Hatujawahi kumuona Raila anechoka namna Ile. Lakini sasa kampeni imekwisha nadhani he will get his breath back. Siyo rahisi kutabiri nani atashinda. Hata Wainjilisti wanaopenda kutabiri wameshindwa kutabiri.

Isipokuwa Bishop mmoja wa Nigeria ambaye two months ago alisema Raila hawezi kushinda kwa ajili ana laana ya baba yake.

Anasema Jaramogi alifanya makubaliani na ancient demon au Asian demon, lakini hakutimiza masharti ya yule demon. Sasa laana itamfikia Raila. Lakini yule Bishop,he gives himself away. Pale mwanzo anasema,:"Sisi watu wa dini tuache kuwasapoti watu ambao wakipata uongozi hawatupi zawadi yoyote".

I hope Wakenya watapiga kura kwa amani. Halafu Mkuu wa Majeshi Kenya ni mpya,Luteni Jenerali Peter Njiru ambaye ameteuliwa mwezi uliopita.

As I said tatizo ni prana. Wakenya wakifikiria huu ni uchovu wa kampeni tu leo Wakenya watamchagua Raila kuwa rais.

Raila alikataa kufanya debate na mpinzani wake. Alisema Ruto ni mhalifu wa aina fulani. Haya mambo ni important. Haya mambo ya uhalifu,mambo ya kuvunja Amri Kumi za Mungu,kwa kweli ndio yanayoiongoza historia.

Ingawa waty wanapenda kuzunguzia kuhusu very complicated theories as to why there was the French Revolution or the Russian Revolution or the Iraq War or some other war. Watu wanaweza kuvumilia mateso ya njaa muda mrefu sana. Lakini ukimtukana Mungu unakwenda na maji mara moja.

Nadhani watu wa dini Kenya wanayo agreement kwamba hawatamtabiri mshindi. It is dangeroud. Unaweza kuwa scalped for saying this or that person will win.

Mimi sijafuatilia Uchaguzi wa Kenya isipokuwa jana tu ndio nimetazama items chache na ndio nime notice Raila anechoka sana.
 
Wacha bongo movie iendelee.
FY1WGOQX0AAmBeA.jpg
 
Wakenya wakifikiria huu Ni uchovu wa kampeni tu leo Wakenya watamchagua Raila kuwa rais.
Huo ndio ukweli. Raila atachaguliwa kuwa rais wa 5 wa kenya.

Sifurahishwi na Ruto na mgombea mwenza wake wote kuwa convicted kwa ufisadi. Ufisadi ndio ugonjwa unaotucheleweshea maendeleo hapa Africa kwa sasa. I hate all fisadis, siwezi kumuunga mkono mtu yeyote fisadi.

Nawatakia uchaguzi wa amani na salama. Mungu awabariki.
 
Ruto amewateka vijana. Atapata kura nyingi za Vijana (the majority) na wazee wachache.

Kwasabb vijana wengi hawajui long history ya struggle ya Raila kisiasa kwahiyo no sympathy votes.

Raila pia amechafuliwa faili na Uhuru, as incumbent president lazima ana makosa kayafanya katika uongozi wake, hivyo mgombea anayemuunga mkono anaambukizwa makosa hayo pia. Hiyo pia itapunguza kura za wazee toka kwa Raila.

In the end natabiri Ruto atashinda japo mm simpendi
 
Ruto amewateka vijana. Atapata kura nyingi za Vijana (the majority) na wazee wachache.

Kwasabb vijana wengi hawajui long history ya struggle ya Raila kisiasa kwahiyo no sympathy votes...
Atashinda kula Ugali mkubwa lakini sio kwenda Ikulu
 
Prana ni neno la Kihindi,maana yake 'pumzi'. Raila amefanya kampeni kwa bidii na anechoka sana. Hatujawahi kumuona Raila anechoka namna Ile. Lakini sasa kampeni imekwisha nadhani he will get his breath back. Siyo rahisi kutabiri nani atashinda. Hata Wainjilisti wanaopenda kutabiri wameshindwa kutabiri.

Isipokuwa Bishop mmoja wa Nigeria ambaye two months ago alisema Raila hawezi kushinda kwa ajili ana laana ya baba yake.

Anasema Jaramogi alifanya makubaliani na ancient demon au Asian demon, lakini hakutimiza masharti ya yule demon. Sasa laana itamfikia Raila. Lakini yule Bishop,he gives himself away. Pale mwanzo anasema,:"Sisi watu wa dini tuache kuwasapoti watu ambao wakipata uongozi hawatupi zawadi yoyote".

I hope Wakenya watapiga kura kwa amani. Halafu Mkuu wa Majeshi Kenya ni mpya,Luteni Jenerali Peter Njiru ambaye ameteuliwa mwezi uliopita.

As I said tatizo ni prana. Wakenya wakifikiria huu ni uchovu wa kampeni tu leo Wakenya watamchagua Raila kuwa rais.

Raila alikataa kufanya debate na mpinzani wake. Alisema Ruto ni mhalifu wa aina fulani. Haya mambo ni important. Haya mambo ya uhalifu,mambo ya kuvunja Amri Kumi za Mungu,kwa kweli ndio yanayoiongoza historia.

Ingawa waty wanapenda kuzunguzia kuhusu very complicated theories as to why there was the French Revolution or the Russian Revolution or the Iraq War or some other war. Watu wanaweza kuvumilia mateso ya njaa muda mrefu sana. Lakini ukimtukana Mungu unakwenda na maji mara moja.

Nadhani watu wa dini Kenya wanayo agreement kwamba hawatamtabiri mshindi. It is dangeroud. Unaweza kuwa scalped for saying this or that person will win.

Mimi sijafuatilia Uchaguzi wa Kenya isipokuwa jana tu ndio nimetazama items chache na ndio nime notice Raila anechoka sana.
Raila ni mzee, lazima kampeni zimchoshe.
MK254
 
Back
Top Bottom