Taarifa za kiserikali ni kama ifuatavyo;
ENEO.36,685 kilomita za mraba.
idadi ya watu;152,296 kwa mujibu wa sensa ya 2002.
kwenye idadi hiyo ya watu ni kuwa ,
WANAUME 76,291.
WANAWAKE 76,005.
Mgawanyo wa kiumri ni 65,597 kati ya 15-44.
86,699 kati ya 45-80+.
ENEO LA KIUTAWALA .
KATA; 15.,VIJIJI;51,NA VITONGOJI ,234.
ELIMU NI KUWA 26% NDIO WANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA NA HII NI KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA HALI YA ELIMU.
Mengineyo nitawaletea taarifa kama nitazipata na haswa kuhusiana na idadi ya shule pamoja na zahanati zilizopo ,pia hali ya kiuchumi na haswa kujua aina za rasilimali zilizopo zaidi ya mifugo na kilimo.