Mkuu Lunyungu,
Ya ubalozi hayakuhusu, maana huishi nje na hukutukana mtu last two weeeks hilo unajua vizuri sana, aliyetukana watu hapa na anayehusika na hayo anajijua, kwa hiyo tuliza boli mkuu,
Kuhusu tatizo lako na watoto wa nje wa Tinga tinga, ukweli ni kwamba hapa JF hakuna hata mmoja, unayemuhisi ni mtoto wake wa kwanza, yuko NY anamiliki kampuni yake ya Trailers na yuko bussy sana kujihusisha na hii shughuli, maana sasa hivi ameshaanza kurushia vifaa bongo akijitayarisha kurudi bongo na kuanzisha kampuni ya usafiri wa ma-Trailer na kujiunga na siasa,
However, ninamfahamu kwa hiyo na ninaelewa kuwa hapa JF kuna watoto wanaodhani ni wa ndani, lakini kumbe mama zao waliwaibia baba zao, na baba zao wa kweli wanafahamika, badala ya walionao sasa wa kuchora, na mimi binafsi sitishiki kabisa na vitisho vyako, vipi tukiwasialiana ili tukutane tumalize mzizi wa fitina, badala ya kuharibu mada hapa JF? Na pia ningeomba uachane na jina langu mkuu, maana mwanafunzi hawezi kumshinda master aliyemfundisha mchezo,
Again uchaguzi uko Kiteto, mimi siwezi kupoteza muda na ujinga, but sina noma kuujibu, at anytime, kwa hiyo mkuu ninarudi kwenye kazi ya kujenga taifa, nitarudi baadaye, ila please achana na jina langu la FM-ES maana lina represent real deal na sio hayo unayojaribu kunitwika sio yangu, maana yangu unayajua vizuri, sifa za hii Jf huwezi kuzipata kwa kunisingizia kuwa something I am not, na anything to do na ES amabacho hakihusiani na hoja za siasa, itajibiwa exactly as it is maana kama nilivyosema watu wazima hawatishani nyau mkuu, not me na never!
Mkuu Masatu,
Watu hurukia treni mkuu sio wanaume wengine kama wao, maana dunia sio ya kuaminia mwanaume mwenzio, vipi huko uliko nako kuna internet kumbe?
Super Super ES! kumkoma nyani mpaka giladi na mwendo uendelee kuwa mdundo!