Asha Ommary
Member
- Sep 1, 2020
- 97
- 90
- Thread starter
-
- #21
Kijiti cha uenyekiti kukabidhiwa rasmi leo.
Chama cha Mapinduzi(CCM) kinafanya Mkutano Mkuu Maalumwa kumchagua Mwenyekiti wake wa taifa jijini Dodoma katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, Makao Makuu ya Chama.
Wajumbe wengi wapo ukumbini
Updates:
Hapo ni taratibu tu zimefuatwa, Rais wa nchi ndie mwenyekiti wa CCM.Kwa mfano mzee mama asipopitishwa itakuwaje?
Anaelewa na anajua kua wapo wale ambao wasingependa mama awe!mzee pinda mbona kama ana wasiwasi na wajumbe
Amenishtua sana ...all in all kila kitu kitaenda kama kilivopangwaAnaelewa na anajua kua wapo wale ambao wasingependa mama awe!
Kwa mfano mzee mama asipopitishwa itakuwaje?
Hakikaamenishtua sana ...all in all kila kitu kitaenda kama kilivopangwa
Matumizi tu mabaya ya kodi za wananchiHapo ni taratibu tu zimefuatwa, Rais wa nchi ndie mwenyekiti wa CCM.
Halafu katulia tulii! I bet ana smile kumoyo!mzee kikwete anajipenda sana... barakoa hajaisahau
Matumizi tu mabaya ya kodi za wananchi
Ili jambo lingefanyika hata online watu buku mnawasafirisha na posho wanapewa
Kuja kuandika Ndio
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Suala la demokrasia na kutumia teknolojia kuokoa kodi vinahusiana vipi bi mdogoMawazo yako ni mabaya kwa Demokrasia ya nchi yetu
Kwa lipi mkuu? Tusaidie kujua sisi wengine ambao kwa muda huu tuko ktk mazingira ambayo tunategemea JF tuamenishtua sana ...all in all kila kitu kitaenda kama kilivopangwa
Alimaliza kwa kusema anaamini zitapatikana kura anazozitarajia na si vinginevo japo aliongea kinyonge kidogoKwa lipi mkuu? Tusaidie kujua sisi wengine ambao kwa muda huu tuko ktk mazingira ambayo tunategemea jf tu
Wewe weka mguu upande ili team magu ipitishe mguu wa katiBaada ya hapa team Magu na masalia wakae mguu sawa.
Anatafutwa mchawi hapo...Zoezi la upigaji kura ni kiboko....kama hii ndio demokrasia kwenye vyama vyetu vya siasa basi Afrika tuna laana kubwa kuliko ya Kaini wa kwenye Biblia!
Duuh! Itakuwa kunafukuto kubwa huko ndani ya CCM. Wasipoangalia watatoana roho.alimaliza kwa kusema anaamini zitapatikana kura anazozitarajia na si vinginevo japo aliongea kinyonge kidogo
Kijiti cha uenyekiti kukabidhiwa rasmi leo.
Chama cha Mapinduzi(CCM) kinafanya Mkutano Mkuu Maalumwa kumchagua Mwenyekiti wake wa taifa jijini Dodoma katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, Makao Makuu ya Chama.
Wajumbe wengi wapo ukumbini
Updates: