Asha Ommary
Member
- Sep 1, 2020
- 97
- 90
- Thread starter
- #21
Kijiti cha uenyekiti kukabidhiwa rasmi leo.
Chama cha Mapinduzi(CCM) kinafanya Mkutano Mkuu Maalumwa kumchagua Mwenyekiti wake wa taifa jijini Dodoma katika ukumbi wa Jakaya Kikwete, Makao Makuu ya Chama.
Wajumbe wengi wapo ukumbini
Updates:
Bashiru ndani ya mkutano mkuu