Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hata CHADEMA wanapata ruzuku nayo ni matumizi mabaya ya Kodi.Matumizi tu mabaya ya kodi za wananchi
Ili jambo lingefanyika hata online watu buku mnawasafirisha na posho wanapewa
Kuja kuandika Ndio
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Nimemuona ukumbini sambamba na Shilole!Nyalandu mmesha mrudishia kadi yake ya ccm?
Ukiwasha TBC Ghafla Unaweza Kufikiri ni Shamba la Migomba kumbe ni Mkutano Mkuu-Dodoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha
Yupo aisee na akatambulishwa kama Katibu Mkuu MSTAAFU!
Shida yote iko hapo juu kushoto.
Mkuu ulitaka uone rangi nyekundu?Ukiwasha TBC Ghafla Unaweza Kufikiri ni Shamba la Migomba kumbe ni Mkutano Mkuu-Dodoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakika bwasheeHamna namna inabidi tukubali matokeo tu
Hakika bwashee
Dr Mwigullu Nchemba anaweza kumrithi Dr Bashiru!
Kumbe ccm nayo ipo vizuri
View attachment 1768808
Kwa hiyo?Tupo hapa hapa
Watakuwa wamepotea sana kumpa Makonda nafasi hiyo ndani ya chama.Makamu mwenyekiti wa CCM mzee Mangula amesema Zege hailali na kwamba leo sekretarieti mpya itatangazwa....
Unajidanganya tu mkuuKwa mwenendo iliyokuwa inaenda nayo CHADEMA tulikionya kuwa kinajichimbia kaburi lake yenyewe!
TSON akaenda mbali kusema 2013 ndo mwisho wa CHADEMA (chenyewe kikajitahidi mpaka 2020)
Ikiwa ni kweli (tunarudia) ikiwa ni kweli, Naona kabisa chama dume kikianza kukusanya Majembe, sururu, Makoleo .... (maandalizi ya kuchimba kaburi)