Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hakuna hoja ya mgogoro uliyoandika. Weye ni ka-mbeya tu.Kanusha kwa data mkuu. Acha kubwabwaja unatia aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hoja ya mgogoro uliyoandika. Weye ni ka-mbeya tu.Kanusha kwa data mkuu. Acha kubwabwaja unatia aibu
Kama ccm ilivyogawanyika baada ya kuuzwa kwa mwekezajiWakuu salaam.
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka kwa mnyetoshaji wangu aliyepo CHADEMA makao makuu zinaeleza kwamba kuna mgo goro mkubwa umeibuka ndani ya chadema hivi sasa ambapo chama hicho kipo kwny uchaguzi wa ndani na chanzo cha yote haya ni mwenyekiti aliyepo madarakani hv sasa mh Freeman mbowe kuwashughulikia wasiomuunga mkono na wale wanaotaJwa kugombea nafasi hiyo.
Mbowe anatumia gharama kubwa ikiwamo pesa na madaraka kuwafinya wote wanaoonekana kumbua kichwa na kwa kuwawekea maboya katika maeneo Yao wasifurukute kkwenye chaguzi ngazi za chini hususan majimbo mikoa n.a. kanda ambapo ndio wanapatikana wapiga kura as mkutano mkuu wa taifa.
Hakika mbowe ni king muswati na huenda aakafia kwenye kidonda kama nzi
Natayari walisha mkabidhi mwekezaji yaani ccm kwa sasa ni mali ya mtuKwenye chama chenu m/kiti wenu waga anagombea na nani. Kumbe umbeya hainaga jinsia hata wanaume wambeya wapo tu.
Unashindwa kuandika mambo muhimu yanayoweza kusaidia nchi unakuja kuandika upumbavu. Hopeless kabisa wewe.
Natayari walisha mkabidhi mwekezaji yaani ccm kwa sasa ni mali ya mtuKwenye chama chenu m/kiti wenu waga anagombea na nani. Kumbe umbeya hainaga jinsia hata wanaume wambeya wapo tu.
Unashindwa kuandika mambo muhimu yanayoweza kusaidia nchi unakuja kuandika upumbavu. Hopeless kabisa wewe.
Ni noma huyu kiumbe. Alianza na lis akamtwanga risas, ila before that chach wang alimmaliz kwa ajal, hahaha genge la profesinal killa, mna kazi mnaoshabikia kundi la magaidiWakuu salaam.
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka kwa mnyetoshaji wangu aliyepo CHADEMA makao makuu zinaeleza kwamba kuna mgo goro mkubwa umeibuka ndani ya chadema hivi sasa ambapo chama hicho kipo kwny uchaguzi wa ndani na chanzo cha yote haya ni mwenyekiti aliyepo madarakani hv sasa mh Freeman mbowe kuwashughulikia wasiomuunga mkono na wale wanaotaJwa kugombea nafasi hiyo.
Mbowe anatumia gharama kubwa ikiwamo pesa na madaraka kuwafinya wote wanaoonekana kumbua kichwa na kwa kuwawekea maboya katika maeneo Yao wasifurukute kkwenye chaguzi ngazi za chini hususan majimbo mikoa n.a. kanda ambapo ndio wanapatikana wapiga kura as mkutano mkuu wa taifa.
Hakika mbowe ni king muswati na huenda aakafia kwenye kidonda kama nzi
Kwa nini usimpeleke mahakamani?Ni noma huyu kiumbe. Alianza na lis akamtwanga risas, ila before that chach wang alimmaliz kwa ajal, hahaha genge la profesinal killa, mna kazi mnaoshabikia kundi la magaidi
Huyo sidhani kama hata anajua maana ya dataAkanushe kwa data gani sasa?
Mr zero na wewe?Kwa nini usimpeleke mahakamani?
Ulichoandika umekielewa?Mr zero na wewe?
Kumurika - kumulika
ukitaka ujute kuzaliwa hoji au onesha nia ya kugombea uenyekiti wa chadema taifa
Dikiteita jiweukitaka ujute kuzaliwa hoji au onesha nia ya kugombea uenyekiti wa chadema taifa
Nyerere alikuwa mwenyekiti wa CCM kwa miaka mingapi vile....Hata kama hakuna wanaegombea naye bado wakati ukifika humwachia anayefuata. Hawawi king'ang'anizi!