Tetesi: Uchaguzi wa ndani CHADEMA wakigawa chama. Mbowe adaiwa kuwashughulikia wanaoutaka uenyekiti

Tetesi: Uchaguzi wa ndani CHADEMA wakigawa chama. Mbowe adaiwa kuwashughulikia wanaoutaka uenyekiti

Wakuu salaam.

Taarifa za ndani nilizozipata kutoka kwa mnyetoshaji wangu aliyepo CHADEMA makao makuu zinaeleza kwamba kuna mgo goro mkubwa umeibuka ndani ya chadema hivi sasa ambapo chama hicho kipo kwny uchaguzi wa ndani na chanzo cha yote haya ni mwenyekiti aliyepo madarakani hv sasa mh Freeman mbowe kuwashughulikia wasiomuunga mkono na wale wanaotaJwa kugombea nafasi hiyo.

Mbowe anatumia gharama kubwa ikiwamo pesa na madaraka kuwafinya wote wanaoonekana kumbua kichwa na kwa kuwawekea maboya katika maeneo Yao wasifurukute kkwenye chaguzi ngazi za chini hususan majimbo mikoa n.a. kanda ambapo ndio wanapatikana wapiga kura as mkutano mkuu wa taifa.

Hakika mbowe ni king muswati na huenda aakafia kwenye kidonda kama nzi
Kama ccm ilivyogawanyika baada ya kuuzwa kwa mwekezaji
 
Kwenye chama chenu m/kiti wenu waga anagombea na nani. Kumbe umbeya hainaga jinsia hata wanaume wambeya wapo tu.

Unashindwa kuandika mambo muhimu yanayoweza kusaidia nchi unakuja kuandika upumbavu. Hopeless kabisa wewe.
Natayari walisha mkabidhi mwekezaji yaani ccm kwa sasa ni mali ya mtu
 
Kwenye chama chenu m/kiti wenu waga anagombea na nani. Kumbe umbeya hainaga jinsia hata wanaume wambeya wapo tu.

Unashindwa kuandika mambo muhimu yanayoweza kusaidia nchi unakuja kuandika upumbavu. Hopeless kabisa wewe.
Natayari walisha mkabidhi mwekezaji yaani ccm kwa sasa ni mali ya mtu
 
Wakuu salaam.

Taarifa za ndani nilizozipata kutoka kwa mnyetoshaji wangu aliyepo CHADEMA makao makuu zinaeleza kwamba kuna mgo goro mkubwa umeibuka ndani ya chadema hivi sasa ambapo chama hicho kipo kwny uchaguzi wa ndani na chanzo cha yote haya ni mwenyekiti aliyepo madarakani hv sasa mh Freeman mbowe kuwashughulikia wasiomuunga mkono na wale wanaotaJwa kugombea nafasi hiyo.

Mbowe anatumia gharama kubwa ikiwamo pesa na madaraka kuwafinya wote wanaoonekana kumbua kichwa na kwa kuwawekea maboya katika maeneo Yao wasifurukute kkwenye chaguzi ngazi za chini hususan majimbo mikoa n.a. kanda ambapo ndio wanapatikana wapiga kura as mkutano mkuu wa taifa.

Hakika mbowe ni king muswati na huenda aakafia kwenye kidonda kama nzi
Ni noma huyu kiumbe. Alianza na lis akamtwanga risas, ila before that chach wang alimmaliz kwa ajal, hahaha genge la profesinal killa, mna kazi mnaoshabikia kundi la magaidi
 
Kumurika - kumulika

Lumumba mnatumia kumulika ??

Gari mnaita gali ?? reli mnaita leri ??, Mwenge umewatoa akili, haya katembeze mchana upate kuona vizuri
 
kama ccm tu mwenyekiti ndo ni kila kitu. anaweza kutoa amri ya kufukuzwa hata wabunge wanaotetea wananchi waliowachagua. ccm ni janga...
 
ukitaka ujute kuzaliwa hoji au onesha nia ya kugombea uenyekiti wa chadema taifa

Huko CCM si kwamba ni hatari zaidi mara 1,000,00 plus!!??

Yaani ukikaa vibaya huko jamaa anaku - pyuu pyuu mchana kweupe mithiri ya digidigi kama alivyofanywa TL!!
 
Back
Top Bottom