Uchaguzi wa Rais Venezuela tafrani, upinzani washinda, matokeo hayatangazwi

Uchaguzi wa Rais Venezuela tafrani, upinzani washinda, matokeo hayatangazwi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Uchaguzi wa Rais huko Venezuela uko katika hali tete baada ya matokeo yaliyosambaa kutoka katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura kuonyesha Rais wa nchi hiyo Nicalas Maduro kushindwa kwa kishindo na mgombea wa upinzani Edmunds Gonzalez.

Hata hivyo kuna mashaka makubwa endapo Rais Nicolas Maduro atayakubali matokeo hayo na kuachia madaraka kwa mpinzani wake aliyeshinda.

Screenshot_20240729-081049_X.jpg
 
Safari hii kama raia wamechachamaa zaidi, panaweza kuwaka
Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.

Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
 
Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.

Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Russia ,China hazina maendeleo?.

NB:siungi mkono dhulma ila usiseme nchi zote.
 
Maduro Wins Venezuelan Presidential Election - Electoral Council
3 hours ago

CARACAS With 80% of protocols processed, Venezuelan President Nicolas Maduro has received 51.2% of the votes and won the presidential election, Elvis Amoroso, the chairman of the National Electoral Council of Venezuela, said on Monday.
For Maduro, the upcoming presidential term will be the third in a row; he has headed the Bolivarian Republic since 2013. The inauguration of the head of the executive power of Venezuela will take place on January 10, 2025, and his term of office will be six years.
 
Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.

Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia

Wewe kwa akili Yako Russia wana maendeleo? China hawana ujinga kama wa Wakomunist wenzako Korea ama Venezuela ama Cuba. China ni pure capitalists ila Communism ni kwa ajili ya utamaduni tu. Urus hawana maendeleo kabisa. Hata raia wao hawana furaha kati ya mataifa mengi ulayaa.
Hujui u communism ni nini, na vile vile hujui capitalism ni nini? Hakuna mtu mwenye akili timamu atakayechagua capitalism badala ya u communism

We unachofanya hapa ni kuchanganya u communism na authoritarianism au dictatorship

Unarudia capitalist propaganda

Pia China ni nchi ya kijamaa pure, ubepari hauwezi kuwatoa watu milioni 800 kwenye umasikini, ujamaa umeweza kwa China
Pia nchi nyingi masikini duniani ni za kibepari na zinazofata neo liberal economy
 
Maduro huwa n kawaida yake kushindwa ila huwa anapindua meza badae
 
Hujui u communism ni nini, na vile vile hujui capitalism ni nini? Hakuna mtu mwenye akili timamu atakayechagua capitalism badala ya u communism

We unachofanya hapa ni kuchanganya u communism na authoritarianism au dictatorship

Unarudia capitalist propaganda

Pia China ni nchi ya kijamaa pure, ubepari hauwezi kuwatoa watu milioni 800 kwenye umasikini, ujamaa umeweza kwa China
Wewe ndiyo haujui mfumo wa maisha.
 
Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.

Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Labda sio mfuatiliaji mzuri Russia, China wapo
 
Wewe kwa akili Yako Russia wana maendeleo? China hawana ujinga kama wa Wakomunist wenzako Korea ama Venezuela ama Cuba. China ni pure capitalists ila Communism ni kwa ajili ya utamaduni tu. Urus hawana maendeleo kabisa. Hata raia wao hawana furaha kati ya mataifa mengi ulayaa.
Pole kijana
 
Back
Top Bottom