Uchaguzi wa Rais Venezuela tafrani, upinzani washinda, matokeo hayatangazwi

Uchaguzi wa Rais Venezuela tafrani, upinzani washinda, matokeo hayatangazwi

Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.

Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Hizo nchi 7 tajiri za Dunia nani anapanga huo mpangilio?.
 
Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.

Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Upo sahihi
 
Hujui u communism ni nini, na vile vile hujui capitalism ni nini? Hakuna mtu mwenye akili timamu atakayechagua capitalism badala ya u communism

We unachofanya hapa ni kuchanganya u communism na authoritarianism au dictatorship

Unarudia capitalist propaganda

Pia China ni nchi ya kijamaa pure, ubepari hauwezi kuwatoa watu milioni 800 kwenye umasikini, ujamaa umeweza kwa China
Pia nchi nyingi masikini duniani ni za kibepari na zinazofata neo liberal economy
Wew ndio hujui kitu aisee,
China ujamaa umebaki kwenye siasa, kwenye uchumi na maisha wachina ni wabepari pure, ndio mana unaona kuna very giant pvt companies kama Tencent na Alibaba
China, Vietnam
 
Wew ndio hujui kitu aisee,
China ujamaa umebaki kwenye siasa, kwenye uchumi na maisha wachina ni wabepari pure, ndio mana unaona kuna very giant pvt companies kama Tencent na Alibaba
Ujamaa ni nini ? Na ubepari ni nini ?
 
Ujamaa ni nini ? Na ubepari ni nini ?
Ujamaa, mifumo ya uzalishaji mali ni ya umma, no pvt ownership wa mali,

Ubepari, kila mtu ale kwa urefu wa kamba, ukiwa mvivu unakufa, ukiwa mchapakazi unamiliki nchi nzima,


Btw, best mode ni mixture
 
Ujamaa, mifumo ya uzalishaji mali ni ya umma, no pvt ownership wa mali,

Ubepari, kila mtu ale kwa urefu wa kamba, ukiwa mvivu unakufa, ukiwa mchapakazi unamiliki nchi nzima,


Btw, best mode ni mixture
Kajifunze kwanza.
 
I applaud Maduro for his boldness in leadership.[emoji122][emoji122]
IMG_20240730_015526.jpg
 
Uchaguzi wa Rais huko Venezuela uko katika hali tete baada ya matokeo yaliyosambaa kutoka katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura kuonyesha Rais wa nchi hiyo Nicalas Maduro kushindwa kwa kishindo na mgombea wa upinzani Edmunds Gonzalez.

Hata hivyo kuna mashaka makubwa endapo Rais Nicolas Maduro atayakubali matokeo hayo na kuachia madaraka kwa mpinzani wake aliyeshinda.

View attachment 3055757
All countries should stop interfering in the internal affais of others . ( US & G7 )
 
Uchaguzi wenyewe mgombea wa upinzania anafadhiliwa na CIA na marekani anataka kuwapa Nini wamarekani akishaingia ikulu? Raia wa venezuela akili kichwani kwenu.
 
Na tayari moto umeshawaka maana wamechezea matokeo nakumtangaza Maduro ndiye mshindi
 
Back
Top Bottom