Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Chavist
Maduro kashinda kwa kishindo kizito sanaaaaaaaaa
Maduro kashinda kwa kishindo kizito sanaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Russia hakuna kitu ukilinganisha na nchi gani ukitoa France,USA,German na mataifa makubwa ya ulaya?...kuna kuda tunalishwa sana uongo.China wana maendeleo,
Russia hakuna kitu
Hizo propaganda za Marekani na Ulaya na mgombea wao Mzayuni.Uchaguzi wa Rais huko Venezuela uko katika hali tete baada ya matokeo yaliyosambaa kutoka katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura kuonyesha Rais wa nchi hiyo Nicalas Maduro kushindwa kwa kishindo na mgombea wa upinzani Edmunds Gonzalez,
Hata hivyo kuna mashaka makubwa endapo Rais Nicolas Maduro atayakubali matokeo hayo na kuachia madaraka kwa mpinzani wake aliyeshinda.
View attachment 3055757
Una uhakika? N.korea unaweza walinganisha na s. Korea? WeweHuyo hajui kwamba, nchi nyingi maskini duniani ni za kibepari
Kwa hii comment, hujui ujamaa ni nini na wala hujui ubepari ni niniMfumo wa ujamaa na ubepari ni vitu viwili tofauti ila kiasili ujamaa hauna maana kwenye maisha ya mwanadamu make binadamu ni mbinafsi. Kuna watu kiasili ni wavivu hivyo ujamaa wanaitumia kama kichaka ila ubapari Kila mtu ajipambanie.
Kwa sanctions walizowekea na Marekani au kuwaliinganisha kwa lipi?Una uhakika? N.korea unaweza walinganisha na s. Korea? Wewe
G7 ni maamuzi tu ya nchi kadhaa zenye malengo yao kuamua kutengeneza umoja wao. Kwani Italy ina kitu gani cha kumzidi China lakini yupo kwenye G7 na mchina hayupo?Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Vipi China na RussiaUkomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Hii ndo ubaya ubwela🇷🇺🇻🇪⚡️Putin congratulated Maduro on his re-election as President of Venezuela
Imeisha hiiii
China, VietnamUkomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Huwezi ukawa "pure capitalist" wakati huo huo ukawa "pure communist".Wewe kwa akili Yako Russia wana maendeleo? China hawana ujinga kama wa Wakomunist wenzako Korea ama Venezuela ama Cuba. China ni pure capitalists ila Communism ni kwa ajili ya utamaduni tu. Urus hawana maendeleo kabisa. Hata raia wao hawana furaha kati ya mataifa mengi ulayaa.
Ndio nini ?wasoshoristi
We kweli ni 'The Lost' rudi ulikotoka usije kupotea zaidiWewe kwa akili Yako Russia wana maendeleo? China hawana ujinga kama wa Wakomunist wenzako Korea ama Venezuela ama Cuba. China ni pure capitalists ila Communism ni kwa ajili ya utamaduni tu. Urus hawana maendeleo kabisa. Hata raia wao hawana furaha kati ya mataifa mengi ulayaa.
Nao ubepari hauna mazuri 100%Mfumo wa ujamaa na ubepari ni vitu viwili tofauti ila kiasili ujamaa hauna maana kwenye maisha ya mwanadamu make binadamu ni mbinafsi. Kuna watu kiasili ni wavivu hivyo ujamaa wanaitumia kama kichaka ila ubapari Kila mtu ajipambanie.
Utofauti upo kwenye viwango vya vikwazo katika jumuiya za kimataifa.Una uhakika? N.korea unaweza walinganisha na s. Korea? Wewe
Maduro na chama chake ni kama ccm tuHata 2018 alishindwa, akang'ang'ania. He may opt for the same.