Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.Safari hii kama raia wamechachamaa zaidi, panaweza kuwaka
Kabisa,Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Russia ,China hazina maendeleo?.Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia
Hujui u communism ni nini, na vile vile hujui capitalism ni nini? Hakuna mtu mwenye akili timamu atakayechagua capitalism badala ya u communismWewe kwa akili Yako Russia wana maendeleo? China hawana ujinga kama wa Wakomunist wenzako Korea ama Venezuela ama Cuba. China ni pure capitalists ila Communism ni kwa ajili ya utamaduni tu. Urus hawana maendeleo kabisa. Hata raia wao hawana furaha kati ya mataifa mengi ulayaa.
Wewe ndiyo haujui mfumo wa maisha.Hujui u communism ni nini, na vile vile hujui capitalism ni nini? Hakuna mtu mwenye akili timamu atakayechagua capitalism badala ya u communism
We unachofanya hapa ni kuchanganya u communism na authoritarianism au dictatorship
Unarudia capitalist propaganda
Pia China ni nchi ya kijamaa pure, ubepari hauwezi kuwatoa watu milioni 800 kwenye umasikini, ujamaa umeweza kwa China
Twende taratibuWewe ndiyo haujui mfumo wa maisha.
Russia, China?Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Huyo hajui kwamba, nchi nyingi maskini duniani ni za kibepariRussia, China?
Labda sio mfuatiliaji mzuri Russia, China wapoUkomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
China wana maendeleo,Russia ,China hazina maendeleo?.
NB:siungi mkono dhulma ila usiseme nchi zote.
Pole kijanaWewe kwa akili Yako Russia wana maendeleo? China hawana ujinga kama wa Wakomunist wenzako Korea ama Venezuela ama Cuba. China ni pure capitalists ila Communism ni kwa ajili ya utamaduni tu. Urus hawana maendeleo kabisa. Hata raia wao hawana furaha kati ya mataifa mengi ulayaa.