RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Hizo nchi 7 tajiri za Dunia nani anapanga huo mpangilio?.Ukomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Upo sahihiUkomunist ni upubavu. Yaani kiongozi anakuwa na thamani kuliko Taifa. Angalia Tanzania kulivyo na upumbavu mwingi yaani kiongozi wa ccm anajiona mzalendo kuliko wengine.
Na nchi zote za kikomunist hakuna taifa lililoendelea kuwa kwenye nchi 7 tajiri za dunia.
Akikujibu uniite nione jibuHizo nchi 7 tajiri za Dunia nani anapanga huo mpangilio?.
Wew ndio hujui kitu aisee,Hujui u communism ni nini, na vile vile hujui capitalism ni nini? Hakuna mtu mwenye akili timamu atakayechagua capitalism badala ya u communism
We unachofanya hapa ni kuchanganya u communism na authoritarianism au dictatorship
Unarudia capitalist propaganda
Pia China ni nchi ya kijamaa pure, ubepari hauwezi kuwatoa watu milioni 800 kwenye umasikini, ujamaa umeweza kwa China
Pia nchi nyingi masikini duniani ni za kibepari na zinazofata neo liberal economy
China, Vietnam
Ujamaa ni nini ? Na ubepari ni nini ?Wew ndio hujui kitu aisee,
China ujamaa umebaki kwenye siasa, kwenye uchumi na maisha wachina ni wabepari pure, ndio mana unaona kuna very giant pvt companies kama Tencent na Alibaba
Ujamaa, mifumo ya uzalishaji mali ni ya umma, no pvt ownership wa mali,Ujamaa ni nini ? Na ubepari ni nini ?
Kajifunze kwanza.Ujamaa, mifumo ya uzalishaji mali ni ya umma, no pvt ownership wa mali,
Ubepari, kila mtu ale kwa urefu wa kamba, ukiwa mvivu unakufa, ukiwa mchapakazi unamiliki nchi nzima,
Btw, best mode ni mixture
Safari hii kama raia wamechachamaa zaidi, panaweza kuwaka
Joining BRICS is the next positive step for Venezuela.Hata 2018 alishindwa, akang'ang'ania. He may opt for the same.
All countries should stop interfering in the internal affais of others . ( US & G7 )Uchaguzi wa Rais huko Venezuela uko katika hali tete baada ya matokeo yaliyosambaa kutoka katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura kuonyesha Rais wa nchi hiyo Nicalas Maduro kushindwa kwa kishindo na mgombea wa upinzani Edmunds Gonzalez.
Hata hivyo kuna mashaka makubwa endapo Rais Nicolas Maduro atayakubali matokeo hayo na kuachia madaraka kwa mpinzani wake aliyeshinda.
View attachment 3055757