Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania


HAYA MAMBO YA :deadhorse: MWISHO WAKE UNAKUJA!!
 
Nikisoma post kama hii hasira yangu inaongezeka mara 100% natamani kupasua keyboard...
 
MATOKEO:
[/B][/SIZE]
Kura zilizopigwa jumla ni 327
Zilizoharibika ni kura 9

Anna...kura 265....SPIKA 74.2%

Marando.....kura 53
[/QUOTE]

Jamani, watu wazima tena wabunge kura zinaharibika vipi ?? Au sabotage ??

Could that be kura za wapinzani other than Chadema and CUF plus CCM walioumia sana 🙂)
 
Ha ha haa Mkuu Umeniacha hoi na assumption yako na 4-CCM!
 


Naaaaaam! Sauli ameua maelfu yake, na Daudi ameua makumi elfu yake.

Asomae na afahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…