Pre GE2025 Uchaguzi wa Tanzania 2025 ni vita vya kijasusi ya mashirika makubwa ya Ulaya, Amerika dhidi ya Russia na Mataifa ya kiarabu

Pre GE2025 Uchaguzi wa Tanzania 2025 ni vita vya kijasusi ya mashirika makubwa ya Ulaya, Amerika dhidi ya Russia na Mataifa ya kiarabu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Wewe jamaa umefikiria nje ya box kama mimi, uchaguzi mkuu2025 ni mwepesi mno kwa CCM kushinda kama hayo majamaa yasipo ingilia.

Sio kwamba watu wanaipenda CCM sema tu wapinzani na raia hawajui cha kufanya wakati CCM inajua kufanya uchafuzi mkuu.

Spika aliulizwa yale maswali makusudi tu ili US na ulaya wajue where the wind is blowing maana maza aliwaletea kibesi kwenye sakata la utekaji.

Saivi tayari washajua nadhani huko CCM 2025 kutawaka moto maana naona CCM ndo itakuwa silaha ya kuiangusha CCM aliwahi kusema Nyerere kuhusu hili.
 
Wewe jamaa umefikiria nje ya box kama mimi, uchaguzi mkuu2025 ni mwepesi mno kwa CCM kushinda kama hayo majamaa yasipo ingilia.

Sio kwamba watu wanaipenda CCM sema tu wapinzani na raia hawajui cha kufanya wakati CCM inajua kufanya uchafuzi mkuu.

Spika aliuliza yale maswali makusudi tu ili US na ulaya wajue where the wind is blowing maana maza aliwaletea kibesi kwenye sakata la utekaji.

Saivi tayari washajua nadhani huko CCM 2025 kutawaka moto maana naoma CCM ndo itakuwa silaha ya kuiangusha CCM aliwahi kusema Nyerere kuhusu hili.
Sijajua kama mwenyekiti ana uwezo gani ku digest material na hasa kinachotokea Kwa Palestine kwasasa baada ya kumchokoza Israel na washirika wake!!

Waliokaribu yake wamwambie mapema uchaguzi ujao sio CCM vs chadema Bali CIA,M16,Mossad vs KGB plus washirika wake mataifa ya kiarabu!!

Mzee wa msoga atakua anaijua hii Ngoma vizuri!!

Mzee wa mamvi alipowatumia wale vijana wa kizungu wakati wa kuhesabu kura na kuwachanganya CCM ni Obama alieombwa na kikwete amsaidie walipo wale vijana ndio Kova akawakamata na CCM Wakachakachua kura !!!

Ngoja tuone safari hii!!

Yule kigogo aliwahi lopoka eti kura za chura kiziwi zipo kwenye jeneza tayari zimeshaandaliwa !NIKAJIULIZA MASWALI!KWENYE JENEZA!!!?

LABDA NI UONGO!
 
17 October 2024
Geneva, Switzerland 🇨🇭

KIKAO BUNGE CHA 149 CHA IPU (Inter Parliamentary Union) CHAMALIZA SHUGHULI ZAKE GENEVA, RAIS DR. TULIA ATOA HOTUBA YA MAJUTO


View: https://m.youtube.com/watch?v=LAYwfFWdwDI

Mabibi na Mabwana nawashukuru sana , Hakika mambo ndani ya bunge yalikuwa moto, pia mgawanyiko wa makundi kujitokeza.

Dunia imetekwa nyara na mitizamo kinzani ya ki Geopolitics imejitokeza.

Baraza la IPU limeshindwa kukubaliana kuhusu hali iliyopo eneo la Mashariki ya Kati.

Kamati maalum imeundwa kufuatilia hali hii iliyojichomoza.
Majadiliano moto yaliyotokea katika baraza hili la IPU ndiyo hali inayotakiwa vibrant

Nachukua nafasi hii kutangaza kuwa kikao hiki cha 149 hapa Geneva kimefungwa. Na kuwa kikao kitachofuata mwakani kitafanyika nchini Uzbekistan .

Naomba wimbo maalum wa IPU upigwe kuashiria hitimisho la kikao tukiagana, na majaliwa ya mungu tutakutana nchini Uzbekistan mwakani kwa kikao kijacho cha 150 ..

Inter-Parliamentary Union
https://www.ipu.org › event › 150th...
150th IPU Assembly and related meetings

150th IPU Assembly and related meetings, Saturday, 5 April 2025 - Wednesday, 9 April 2025, Tashkent, Uzbekistan
 
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Wewe siuache wanachukua chako mapema mikono iungulie kwenye mchuzi wa moto wa kuku wa kukwapua wa jirani.
 
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Machawa watakuelewa? Na huyo mama?
 
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Hadithi zenu pelekeni huko kwenye vijiwe vya kahawa
 
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Interesting... soma
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Interesting but relax my friend.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Ccm idhitibiti mashirika ya kijasusi ya America na Europe kama nani? Nimeishia tuhapo sijaendelea kusoma?!
 
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Speculative although sisi tuko in the middle of the battlefield

I agree also nguvu inayotumika against upinzani ni kubwa while upinzani wenyewe hauko na direction …. Ni kuwaacha wamalizane wenyewe

ILA issue ya tulia…. Umekosea

Hata kama rais wa IPU angekua anatoka Siberia, Bado angeshambuliwa the same
 
Ccm idhitibiti mashirika ya kijasusi ya America na Europe kama nani? Nimeishia tuhapo sijaendelea kusoma?!
Nimeandika kutoa"angalizo"jambo ambalo haliwezekani najua!!
Je wapo tayari kumuingiza asie na baraka ya hayo mashirika!!?

Hapo ndipo wazee wa chama wanapaswa kuumiza kichwa!
 
Back
Top Bottom