Uchaguzi wa TFF: Wallace Karia achaguliwa kuwa rais mpya wa TFF

Uchaguzi wa TFF: Wallace Karia achaguliwa kuwa rais mpya wa TFF

Karia na Wambura wote ni Simba damu.
Sasa matopeni chezeni mpira visingizio vya Malinzi havitakuwepo tena.

Kamati ya mashindano ilijaa watu wenu lakini kila kitu ilikuwa Malinzi hiki, Malinzi kile.
Bwihi [emoji16] [emoji16] [emoji16] Tumekuja kuwashika..!
 
Ningeshangaa sana kama wajumbe wangemchagua Ally Mayay. Kwanza kugombeagombea huku kunaweza kufukua siri zako, maana nakumbuka alipokuwa anacheza Yanga alifanya mtihani wa kidato cha sita akapata division zero. Watu wanaweza kuanza kufuatilia aliingiaje katika graduate and postgraduate studies
Hakuna kureseat?
 
Ningeshangaa sana kama wajumbe wangemchagua Ally Mayay. Kwanza kugombeagombea huku kunaweza kufukua siri zako, maana nakumbuka alipokuwa anacheza Yanga alifanya mtihani wa kidato cha sita akapata division zero. Watu wanaweza kuanza kufuatilia aliingiaje katika graduate and postgraduate studies
Ukiombwa ushahidi wa hilo utaweza kuuweka hapa au Mihemuko tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguzi TFF

Kura ziliopigwa-128
Zilizoharibika-3

Iman Madega- 8
Mwakalebela- 3
Emmanuel Kimbe- 1
Shija Richard- 9
Ally Mayay- 9
Karia- 95
Wallace anaonekana mtu makini tatizo langu wingi wa kura kama influence kimtindo sema jamaa anaonekana ni mtu makini . Tatizo ni kwa wambura jamaa mjuaji sana naona kama mzinguaji
 
Tusubiri msuguano wa Rais na Makamu wake. Maana Wambura atataka kuwa juu ya Rais wake
Mwakalibela yupo wapi?.. Kura zimeibiwa kwa kweli.. Sisi wa tawi mtandaoni wa chama tulimtegemea sana
 
bd3c2afe9ca6258a5d9dd1d018859f53.jpg
huu uchaguzi cmba walijipanga kuanzia juu
 
Back
Top Bottom